Especial kwa wadada......

Wala usisumbuke Mdoli Maliposa nenda kwenye salon yoyote ya kiume na mwelekeze unavyotaka utafurahi,huwa tunakutana na kinadada wakinyolewa Bob salon nyingi tu.
 
Kwa Mercy Galabawa watakuwa hawakati kweli?....hebu jaribu
 
nenda Renzo salon ipo IPS building kuna kaka mmoja anaitwa Karim
anakata vizuri sana ile style ya Halle Berry
nenda hapo
 
nenda Renzo salon ipo IPS building kuna kaka mmoja anaitwa Karim
anakata vizuri sana ile style ya Halle Berry
nenda hapo

Yeah, Karim anakata fresh but now ameshatoka Renzo ana saluni yake iko Mwenge mitaa ya Rufungira/Mpakani. Namba yake ni 0652 222 559. Mpigie atakuelekeza vizuri jinsi ya kufika saluni kwake.
 
Yeah, Karim anakata fresh but now ameshatoka Renzo ana saluni yake iko Mwenge mitaa ya Rufungira/Mpakani. Namba yake ni 0652 222 559. Mpigie atakuelekeza vizuri jinsi ya kufika saluni kwake.
Thanks sou sou much,umenirahisishia mnooo....:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Back
Top Bottom