Barbie Maliposa
Senior Member
- Feb 9, 2011
- 153
- 19
wapi naeza pata salon/kinyozi mzuri wa bob style?Anayekata vizuri sana...Pliiiiz help if u know one.
Duuh!!Mbali sana dia,me nko Dar.......Lakini Asante.
Tatizo hujasema unataka kwa maeneo gani,wapi naeza pata salon/kinyozi mzuri wa bob style?Anayekata vizuri sana...Pliiiiz help if u know one.
Tatizo hujasema unataka kwa maeneo gani,
Thanks mamie!!!!nenda Renzo salon ipo IPS building kuna kaka mmoja anaitwa Karim
anakata vizuri sana ile style ya Halle Berry
nenda hapo
nenda Renzo salon ipo IPS building kuna kaka mmoja anaitwa Karim
anakata vizuri sana ile style ya Halle Berry
nenda hapo
Thanks sou sou much,umenirahisishia mnooo....:smile-big::smile-big::smile-big:Yeah, Karim anakata fresh but now ameshatoka Renzo ana saluni yake iko Mwenge mitaa ya Rufungira/Mpakani. Namba yake ni 0652 222 559. Mpigie atakuelekeza vizuri jinsi ya kufika saluni kwake.
Nko Dar wangu,kwahiyo iwe within Dar.
Hahahahahahahahahaha!!!!ur so funny......ni kichwani na si kwingineko....L.O.LAnauliza 'maeneo' ya kufanyia kazi akiwa humo saloon,ili akushauri aina ya hiyo saloon.
Hahahahahahahahahaha!!!!ur so funny......ni kichwani na si kwingineko....L.O.L