Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
Hata ile kauli yake ya wapigwe tu, maana wametuchosha!! Hiyo nayo inatosha kuachia ngazi.
hiyo kauli hadi leo mimi naitafakari, ilitosha kabisa kumuwajibisha maana ilikuwa ni ukiukaji wa wazi wazi wa sheria na katiba ila kombe lilifunikwa ili mwanakharamu apite!