BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Zimeanguka toka mbinguni na kwenda kujideposit zenyewe kwenye ile ESCROW Bank account.
CAG hakusema fedha ni za umma.
CAG hakusema fedha ni za umma.
Pinder ndio nani tena?
Nadhani turudie kuisoma hiyo ripoti mbona imebandikwa humu JF! Pinda anaenda na maji sio kwamba kaiba. Ila alibariki wizi na hakuwa makini katika kutekeleza wajibu wake. Pia alijikuta ameingia kwenye mkumbo wa ku-emphasize kuwa hela ile si ya umma. Kwa hayo tu inatosha hata kuwambia wengine wabaki ila yeye aende. Lakini kwa kuwa tunaamini waliyoyafanya hayawapi hadhi ya kubakia katika nafasi zao, basi waende nae!
tutajua tu nani yupo nyuma ya pazia
Wahisani wanajua namna system nzima ilivyopingwa ganzi na kupelekea wizi huu wa kihistoria.....Wahisani wanataka hatua stahiki zichukuliwe si mzaha......Hatuwezi kukwepa ukweli wa viongozi wetu kushindwa kulifanya taifa hili kujitegemea ........hivyo lazima tukidhi matakwa haya yenye nia njema kukomesha wizi uliokomaa ...........naamini wabunge wengi wa CCM na upinzani wataungana na kamati ya akina Zitto kupitisha maazimio yao........PINDA lazima AONDOKE .........
Hili peke yake linatosha kabisa kufanya ajiuzulu... SAWA, hakuhusika lakini ni sawa na kusema ameshindwa kuwasimamia watendaji wa chini yake! This alone stamps him as IRRESPONSIBLE PM, the reason enough for him to go!!!Kuna taarifa kwamba Pinder amewapanga wabunge kadhaa (majina kapuni) wamtetee bungeni leo ili asiende na maji. Kwa kufanikisha utetezi wao wanadai kwamba Pinder hajahusika yeye binafsi katika ufisadi huu bali ni watendaji wa chini yake ndio wanapaswa kuchukuliwa hatua.
Kwenye masuala ya ukachero hii inaitwa kutengeneza alibi... kwamba, "ingekuwa mimi ndo nimembaka huyo mtoto basi nisingekuja kutoa taarifa polisi kwamba mtoto amebakwa" Only fools can be played with this shit and nonsense excuse!Kete ya pili wanayotumia 'watetezi' hawa ni kwamba ikiwa Pinder alihusika kwenye ufisadi huu basi asingeagiza uchunguzi ufanyike. So the guy is clean and innocent.
Ikiwa PInda mwenyewe tulishajua kwamba anatupiga magirini hata baada ya kuangua kiliko bungeni, itakuja kuwa kutumia mamluki... kama kweli anaonewa, tumuone akilia tena bungeni, alah!Aidha, kuna timu kubwa imetumwa kumtetea Pinder kwenye social media, hasa JF, kwa lengo la kuupotosha umma na kuwafanya wananchi wasadiki kwamba Pinder anaonewa bure.
Ndiyo akome na kimbelembele chake... anafikiri Braza Ben aliyesema bado hajaoteshwa ni boya?Kisingizio kingine kitakachotumiwa kumsafisha ni uwepo wa makundi ya urais, 2015 yanayochafuana.
Angalau vibaraka wake wa hapa JF tushawajua... kama ana ubavu, aombe airtime hapa JF tumtwange miswali... kwanza, I bet maswali ya hapo hapo leo moja wapo ni kutoak kwa Habib Mnyaa ambae atauliza: "Mheshimiwa Waziri Mkuu, Kamati ya PAC imejiridhisha kabisa kwamba hukutekeleza wajibu wako ipasavyo ama kwa makusudi au kwa kufahamu! Je, Mheshimiwa Waziri Mkuu huoni ni busara kwako ukiutangazia umma muda huu kwamba unajihudhuru?"Anyway, ngoja tusubiri tuone hao vibaraka wake wamejipangaje kumtetea kwa kuwa naona kama wanatumia hoja mfu kumsafisha mtu ambaye amechafuka kiasi cha kutosafishika tena. Mbivu na mbichi tutazipata leo bungeni wakati utetezi wa serikali (utakaotolewa na Pinder mwenyewe) utakaporindima.
Nawasilisha
:israel:
Na umeme uliotumika umeanguka kutoka mbinguni? We vipi?Zimeanguka toka mbinguni na kwenda kujideposit zenyewe kwenye ile ESCROW Bank account.
Na umeme uliotumika umeanguka kutoka mbinguni? We vipi?
Zingetumika bilioni ngapi? Na angelipwa nani?Kutumika umeme hakutoi uhalali wa pesa za walipa kodi zaidi ya bilioni 300 kuibiwa na kisha wahuni, wezi na mafisadi kugawana.
#BringBackOurMoney
Kuna taarifa kwamba Pinder amewapanga wabunge kadhaa (majina kapuni) wamtetee bungeni leo ili asiende na maji. Kwa kufanikisha utetezi wao wanadai kwamba Pinder hajahusika yeye binafsi katika ufisadi huu bali ni watendaji wa chini yake ndio wanapaswa kuchukuliwa hatua.
Kete ya pili wanayotumia 'watetezi' hawa ni kwamba ikiwa Pinder alihusika kwenye ufisadi huu basi asingeagiza uchunguzi ufanyike. So the guy is clean and innocent.
Aidha, kuna timu kubwa imetumwa kumtetea Pinder kwenye social media, hasa JF, kwa lengo la kuupotosha umma na kuwafanya wananchi wasadiki kwamba Pinder anaonewa bure.
Kisingizio kingine kitakachotumiwa kumsafisha ni uwepo wa makundi ya urais, 2015 yanayochafuana.
Anyway, ngoja tusubiri tuone hao vibaraka wake wamejipangaje kumtetea kwa kuwa naona kama wanatumia hoja mfu kumsafisha mtu ambaye amechafuka kiasi cha kutosafishika tena. Mbivu na mbichi tutazipata leo bungeni wakati utetezi wa serikali (utakaotolewa na Pinder mwenyewe) utakaporindima.
Nawasilisha
:israel:
Serikali(Pinda) ilisema fedha za Escrow sii za umma sasa CAG, Takukuru, PAC wanasema hizi ni fedha za umma sijui atajitetea kwa lipi kama Serikali.
Pinda hana uwezo wa kuwa Rais na yeyote ndani ya CCM hamna mwenye uwezo wa kuwa Rais otherwise ni shida tu watatuletea