Escrow: Pinda vs Lowassa, Muhongo vs Reginald Mengi, Masele vs Balozi wa uingereza

Escrow: Pinda vs Lowassa, Muhongo vs Reginald Mengi, Masele vs Balozi wa uingereza

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,573
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.
 
mkuu hueleweki weka hoja yako vizuri kwa jamii ipate mwanga unazungumzia nini
 
Upuuzi mtupu, kwani Lowasa ndio aliomtuma pinda ateme pumba zake kuwa fedha si za umma na kutetea wezi?Mengi ndio aliomtuma Muhongo apotoshe umma? Balozi ndiyo aliomtuma Masele atetee wezi? Zitto ndiyo aliomtuma Maswi asababishe ufisadi?
 
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.

Acha kuandika upuuzi hapa,hakuna athari zitakazotokea kwa hawa mafisadi wakishtakiwa,inabidi uwekwe utaratibu mafisadi kama hawa ni wa kupigwa risasi hadharani wafe ili iwe fundisho kwa wengine.
 
Katika hali ya kawaida ni ngumu sana kutoa mawazo yaliyo vichwani mwa watanzania kuhusu sakata linaloendelea.Ni kweli kabisa linauiza sana mioyo ya watu hasa ukiangalia maisha ya watanzania yalivyokuwa magumu na unyonyaji unavyozid kuongezeka .Wameamua kuweka muda wa kujiandikisha kwenye daftari la mkazi ni wiki moja tu ili watu walioajiriwa na waliojiajiri wmaeneo ya mbali na makazi yao wasijiandikishe na mwishowe watajiandikisha wale watu wao wanaowabeba kama mizigo na kuwapeleka kujiandikisha na mwisho watawapigia kura.Sisi tunaopiga kelele huku mitandaon hatuliangalii hili swala kwa umuhimu wake.IKUMBUKWE KWAMBA KUTOA HUKUM KATIKA SWALA HILI LINALOENDELEA kwanza kabisa ni kuhakikisha tunaubadili mfumo kwan huwa wanashinda ngazi za juu kwa sababu ya hawa wajumbe 6 kila mtaa na mwenyekiti wao ukiangalia makadirio nchi nzima wakishinda mitaa yote zidisha familia za viongopz wa mtaa,wanachama,mabalozi wanakuwa tayar wameshinda uchaguz8i....KAJIANDIKISHE MWISHO JUMAMOSI WIKI HII ILI UWEZE KUPIGA KURA YA KUMCHAGUA MKT NA WAJUMBE SITA KATIKA MTAA WAKO.MIMI TAYARI KWANGU KAWE
 
mie inaniuma sana wakati bunge maalum lilivyotoa vipengele vya uwajibikaji ndo walikuwa wanatengeneza njia kutokea kama escrow ziku za mbeleni
 
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.

Sasa wewe ni TEAM PINDA au TEAM MUHONGO?:sick::sick:
 
Ni kweli ila tukumbuke mkweli siku zote hakubaliki,ila Chama cha mafisadi kimezidi.Najua hata hili nisemalo halitakubalika na wale walioguswa na kashfa hii na ukweli niliosema.
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.
 
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.

sawa tatizo watanzania tumeshapandikizwa chuki hasa wabunge wapata elimu hiyo ni hatari kubwa sana
 
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.

Hatuitaji kuayaskia hayo kwa sasa tuache tumalizane na wezi wetu, Pinda na genge lake. Tukimalizana na majizi ndo uje na stori hizi.
Hakuna athari yoyote unapokamata jizi na kulieliminate kwenye society....only positive effects.
 
Mafisadi wote pamoja na muongo hawakubaliki kabisa kwanza hata hku mitaani wasitembeye kwa miguu
 
Tuige mifano katika nchi nyingine kwa hatua zinazochukuliwa kwa watu kama hao zikiwepo nchi za waafrika wenzetu.naonga mkono NI BORA WAPIGWE RISASI WAFE ILI WASIAMBUKIZE VIZAZI VINGINE.SURA MPYA NA MAJINA MAPYA AMBAYO HAYATOKANI NA TABAKA HILO WASIPEWE NAFASI KUONGOZA NCHI HII BILA KUSAHAU CHAMA CHA MAJAMBAZI TUPISHE NA VYAMA VINGINE NAVYO TUONE.
Acha kuandika upuuzi hapa,hakuna athari zitakazotokea kwa hawa mafisadi wakishtakiwa,inabidi uwekwe utaratibu mafisadi kama hawa ni wa kupigwa risasi hadharani wafe ili iwe fundisho kwa wengine.
 
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.

wahisani wamesitisha trillion of shillings za misaada kwasababu ya upuuzi na uzembe wa watumishi waliopewa dhamana husika.
Endelea kuamini kuwa hizi ni fitna ila huyo Singasinga alichokifanya kwa serikali ya CCM alishakifanya kwa serilali ya KANU na ilidondoka kutokana na ujeuri na viongozi kujivua ufahamu kama wewe ulivyojivua ufahamu na kufanya maamuzi kwa kuongozwa na tumbo bila kujali maslahi ya umma.
 
mkuu hueleweki weka hoja yako vizuri kwa jamii ipate mwanga unazungumzia nini
Mkuu, kama umekuwa ukifuatilia mjadala wa escrow na suala la gesi na mafuta. Hoja ya thatha haihitaji maelezo ya ziada
 
PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.

Ukiwa kwenye PAY ROLL ya SINGASINGA akili zinakuwa na masizi, hivi hadi ukandwe makalio kwa limao ndiomuwelewe kuwa PAP hakununua hisa za Mechmar kihalali kwa kuwa hisa hizo zipo BVR na hivyo kuimiliki IPTL ni udanganyifu na alipewa fedha kwa udanganyifu.
 
Back
Top Bottom