PINDA alishaonekana kuwa tishio kwa LOWASSA kuelekea 2015, MUHONGO alishakuwa kizingiti kwa MENGI kuwa wakala wa vitalu vya gesi, Masele alishakwaruzana na Balozi wa Uingereza Maswi na ZITTO hawakuanza mvutano leo.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.
Sisi wengine tunashabikia tu. Yote ni heri lolote liwalo na liwe ila tujiandae pia na athari zitakazojitokeza kutokana na fitina hizi.