Escrow Kimenuka: Uongo wa Taarifa ya Kamati ya PAC kuhusu sakata la ESCROW

Kujadili na hawa wezi na vibaraka wao ni kuhujumu jitihada za kupambana na mafisadi, vibaraka wanaviwashwa washwa sana kuliko wezi ambao walishakiri kuchukua mboga na vijisenti vya ugoro
 
watakaoshinda kwenye chaguzi za 2015 ni wale watakaokuwa wanasema Escrow ni mali ya umma na waliopata mgao ni wezi, kinyume cha hayo usitegemee kupata kura
 


Maoni haya yanahitaji kupembuliwa na CAG
 

Kweli faizafox unazeeka vibayaa ishu ya escrow imeshahamuliwa na imeshaifedhehesha serikali kimapata na bado tu mnazidi kuwaaminisha watu uongo ufai kabisa wewe.
 
Huu ni Ujinga tu! tunaomba Orodha ya waliopewa pesa kupitia Bank ya Stanbic, mimi nilidhani utatuambia hili kumbe bado ni ngonjera zile zile za mwaka jana?

Wabongo mkilishwa uongo na wasaka tonge, huwa hamjishughulishi tena kutafuta ukweli! nyie ni kupelekeshwa tu kama ng'ombe eti kuunga mkono chadema baasi!
 
Kweli faizafox unazeeka vibayaa ishu ya escrow imeshahamuliwa na imeshaifedhehesha serikali kimapata na bado tu mnazidi kuwaaminisha watu uongo ufai kabisa wewe.

Hizo zako ni porojo zisizo na hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…