Escrow: Je, Watanzania ni ignorant au tumelogwa? Tuache cherry-picking kutafuta Mbuzi wa Kafara!

Wanabodi,
Kwa Nini Watu Wanataja Taja Tuu Majina?, Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!.
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".
Paskali
Nimenote mjadala mkubwa unaendelea baada ya Ngeleja kurejesha fedha za mgao wa escrow!, kwangu mimi huu ni muendelezo tuu wa hii hii ignorance niliyoizungumzia humu, tangu lini kupokea pesa au zawadi yoyote ikawa ni kosa?, kama wakati ukipokea, hukujua kama fedha hizo ni za wizi?.

Ila pia ignorance kubwa ni kushadadia wanaojulikana walipokea, jamani hawa ni wachache na walichopokea ni just a peanut!, wako Watanzania wenzetu, walipokea migao mikubwa ya fedha za wizi, kikiwemo chama fulani kilipokea mgao wa bilioni 40 za Kagoda, watu walipokea mgao wa Rada, Meremeta, Deep Green, Tan Gold, DCP, lakini kwa vile hawajulikani, they are OK!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali.
 
Kwa mwandishi wa habari na mtu ambaye unadai umesoma sheria UDSM, sijawahi kuona mwandishi mbovu kama wewe!

Kanuni nyepesi tu za uandishi zinakushinda. Mjinga nambari moja utakuwa ni wewe.

Unaweka alama za nukuu hata pasipotakiwa. Unarudia rudia maneno yaleyale uliyoyaandika katika lugha moja na kuyaandika katika lugha ingine.

Hivi una matatizo gani wewe?
Nyani Ngabu ,Reff : 2014 kama ndio Leo July 2017 unajihukumuje kuhusu kauli yako hii !? Je ujioni ulikuwa ni mmoja kati ya alicho lalamikia Pascal ataa kumwita mmbovu !? Tafakari chukua hatua kufuta ujinga Taifa liendembele .
 
nikiona alieanzisha uzi ni Pasco lazima niupitie ili niokoteokote vitu .

Labda nikuongezee kwamba Watanzania sio kichwa maji tu, bali vilevile ni kichwa cha mwendawazimu kila mtu anajifunzia kunyoa.
Wengine walishasema hili ni shamba la bibi.
Tofyo Reff: 2014 ndio leo July 2017 kwa kauli yako hii !? Ina maana ulikuwa nje ya kundi la wajinga ,jipongezee
 
Wanabodi,
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena na kuanguka tena!".

Watu wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo!. Huu ni ujinga, ignorance!.


Watanzania ni Ignorants?, yaani Sisi Watanzania ni Wajinga?.
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ma-ignorants!", yaani wengi wetu ni watupu kabisa vichwani mwetu au ni weupe tii!, ni vichwa maji kabisa!, uwezo wa kufikiri wa wengi wetu, "logical thinking", ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana, "to make informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama lingo'ombe au mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issues zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilizopelekea haya yatokanayo, yatokee, vyanzo haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!, tuna deal na matokeo tuu!.

Ujinga Huu wa Watanzania, Kutojiuliza Chanzo cha Tatizo Umeanzia Wapi na Uko Wapi?.
Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu, tuna wabunge ma ignorants mule hakuna mfano!, tuna viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu kuna mawaziri ni ma ignorants, uthibitisho ni jinsi mawaziri wetu wanavyotimuliwa from time to time!, tuna viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa vyombo vya dola, nao ni ma ignorants tuu, na wana jf wengi pia ni ma ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, tofauti kati yangu na baadhi ya mfano wangu, ni ma ignorants ambao tunajitambua na tunasema, wakati wengi wa ma ignorants wenzetu, hukaa kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu ya kuogopa kuongea, tunaongea wazi wazi hivyo tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa uwazi kabisa kwa ku speak out our minds and expressing our opinions.

Jee Ujinga Huu ni Mtaji?.
Yes ujinga ni mtaji!. Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kimekuwa kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura ubwete za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Kwa Nini Mtu Uwaite Watanzania Wenzako Kuwa ni Wajinga?.
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijatukana mtu, wala sijawaita watu ni wajinga, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Jee Sisi Watanzania ni Wajinga?. Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants au la!, kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa?. Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya, lakini inapofikia wakati wa kuwapima hao waliowachagua, bado wakawachagua watu wale wale, chama kile kile, na baadae kuja kufanyiwa madudu yale yale!.

Jee Hali Ilikuwa Hapo Mwanzo, Ukilinganisha na Hali Ikoje Sasa?
Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, Tanzania tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, bado tunao wale maadui wakuu watatu bali sasa, ujinga umeongezeka mara dufu!, umasikini sasa ni uliotopea!, na maradhi yamezidi hadi mengine ni janga la taifa kwa sababu hayana tiba!. Kila siku ni afadhali ya jana!. Wazee wa sasa wanasema, hali ilivyo sasa ni mbaya hadi kujiona zamani enzi za mkoloni ni afadhali kuliko sasa!. Kitu kibaya zaidi, ni sasa tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.

Uzuri wa Watanzania ni Upi Katika Kukumbatia Umasikini, Ujinga, Maradhi, Rushwa na Ufisadi
Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Ignorance Kwenye Mjadala wa Escrow
Ignorance hii imejidhihiri wazi kwenye huu mjadala wa Escrow unao endelea sasa, ambapo wengi wetu, tumejikita kwenye issue ya fedha za Escrow tuu, ambayo sio a very big deal!, fedha ya escrow ni matokeo tuu ya hili jinamizi linaloitwa IPTL!, hakuna anayezungumzia chanzo, na hiyo pesa iliyokuwa inawekwa kwenye hiyo account ya escrow ni fedha ndogo ya capacity charges only, bado Tanesco inalipa mabilioni kwa mabilioni ya kulipia Utilities huko huko IPTL, Aggreko, Simbion, Songas!, badala ya watu kujadili chanzo, na kwa nini tumefika hapa, wao wanajadili matokeo tuu!. Hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.

Jee Escrow Ndio Issue Sana Kivile?, Au Issue ni IPTL?. Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!.
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwa Nini Watu Wanataja Taja Tuu Majina?, Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!.
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".

Paskali

Pascal Reff: 2014 ndio leo July 2017 kwa kauli yako hii !!?? Hongera sana na usichoke kutuaamsha wajinga lala
 
Nimenote mjadala mkubwa unaendelea baada ya Ngeleja kurejesha fedha za mgao wa escrow!, kwangu mimi huu ni muendelezo tuu wa hii ignorance niliyoizungumzia humu, tangu lini kupokea pesa au zawadi yoyote ikawa ni kosa, kama wakati ukipokeo, hukujua kama fedha hizo ni za wizi?.

Ila pia ignorance kubwa ni kushadia wanaojulikana walipokea, jamani hawa ni wachache na walichopokea ni just a peanut!, wako Watanzania wenzetu, walipokea migao mikubwa ya fedha za wizi, kikiwemo chama fulani kilipokea mgao wa bilioni 40 za Kagada, watu walipokea mgao wa Rada, Meremeta, Deep Green, Tan Gold, DCP, lakini kwa vile hawajulikani, they are OK!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali.
Kumbe ni kweli siku za mwizi ni arobaini "Things have started backfiring''
 
Hebu wataalamu wa sheria nisaidieni Mali ya wizi huwa inarudishwa?
Alichokifanya Ngeleja ni kukabidhi exhibit serikalini lakini amekabidhi sehemu isiyo sahihi, alipaswa akakabidhi kile kielelezo Takukuru.
 
Hebu wataalamu wa sheria nisaidieni Mali ya wizi huwa inarudishwa?
Alichokifanya Ngeleja ni kukabidhi exhibit serikalini lakini amekabidhi sehemu isiyo sahihi, alipaswa akakabidhi kile kielelezo Takukuru.
Mkuu Koroda, wizi ni kosa la jinai, hivyo linapaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria kwa wahusika kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Lakini sisi Tanzania tulianzisha utaratibu mpya wa kushulikia wizi mkubwa kwa wezi wakubwa wa EPA kurejesha walichokwiba na kunakuwa hakuna kesi tena.

Hivyo Ngeleja is very right, kuzirejesha fedha zile kwenye safe custody ya serikali, ili ikikutikana escrow ni fedha za wizi, then he will be safe.

Kwa Tanzania, mwizi ni mwizi wa kuku na sio wa fedha nyingi.

Paskali
 
Mkuu Koroda, wizi ni kosa la jinai, hivyo linapaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria kwa wahusika kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Lakini sisi Tanzania tulianzisha utaratibu mpya wa kushulikia wizi mkubwa kwa wezi wakubwa wa EPA kurejesha walichokwiba na kunakuwa hakuna kesi tena.

Hivyo Ngeleja is very right, kuzirejesha fedha zile kwenye safe custody ya serikali, ili ikikutikana escrow ni fedha za wizi, then he will be safe.

Kwa Tanzania, mwizi ni mwizi wa kuku na sio wa fedha nyingi.

Paskali
Umenikumbusha kesi ya Mwizi wa Kandambili na kibaba cha unga
 
Mkuu Koroda, wizi ni kosa la jinai, hivyo linapaswa kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria kwa wahusika kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Lakini sisi Tanzania tulianzisha utaratibu mpya wa kushulikia wizi mkubwa kwa wezi wakubwa wa EPA kurejesha walichokwiba na kunakuwa hakuna kesi tena.

Hivyo Ngeleja is very right, kuzirejesha fedha zile kwenye safe custody ya serikali, ili ikikutikana escrow ni fedha za wizi, then he will be safe.

Kwa Tanzania, mwizi ni mwizi wa kuku na sio wa fedha nyingi.

Paskali
Mayalla uko sahihi lakini ile ya EPA ni Mkuu wa Kaya wa wakati huo ndiye aliyeutangazia umma kwamba atakaerudisha pesa alizozipiga EPA basi atasamehewa na alitoa muda wa kikomo wa kurudisha Serikalini hizo pesa, na watu walirudisha kimyakimya. Hapa tu Mkuu wa Kaya alikuwa wa kwanza kuvunja sheria za Taifa analoliongoza lakini cha ajabu wanaojiita wabobezi wa sheria wa Taifa hili walishindwa hata kupaza sauti angalau kuonyesha kwamba alichokuwa anakifanya Mkuu wa Kaya ni uvunjifu wa sheria.
Nahisi hata Ngeleja amerejea ule ule utaratibu wa kuiba na kurudisha Serikalini na hakuna kesi.
Kweli hii nchi ni ya Watu wajinga na tusiojielewa.
Naunga mkono hoja yako Pascal Mayalla.
 
Pascally ndugu yangu huoni kama haya maneno yako ungeyasema kipindi mzee huyo JR anakamatwa hadi anapelekwa huko rupango yangekuwa na sauti?
P
 
Wanabodi,
Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.

Jee Escrow Ndio Issue Sana Kivile?, Au Issue ni IPTL?. Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!.
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwa Nini Watu Wanataja Taja Tuu Majina?, Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!.
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".

Paskali
Kwenye hii issue ya Escrow, tulikuwa tunatafuta mbuzi wa kafara, amepatikana ni Singa Singa Seth, na sasa mbuzi huyo kaenda kufia buchani kwa muuza supu, sasa James Rugemalila aachiwe, maisha yaendelee!.
Wanabodi,
Naomba kwa hapa tuwe wakweli, huyu Mzee JR akamatwe kwa kosa gani?. Aliyechota fedha za escrow ni kalasinga wa PAP, fedha za Escrow zimelipwa PAP, yeye amefanya biashara halali kabisa ya kuuza hisa zake halali ndani ya VIP kwa kumuuzia PAP, na amelipwa na PAP malipo halali kwa hisa zake, na baada ya kupokea malipo, amelipa kodi zote stahiki na halali za serikali, pesa zilizobaki ndizo amezifanyia wema kuzigawa kama sadaka au asante kwa wale aliowachagua, sasa kosa lake ni lipi?!, na waliopokea sadaka ya wema ule wana kosa gani?!. Hakuna kosa lolote kwa mtu yoyote kugawa fedha zake mwenyewe kwa yeyote, na hakuna kosa lolote kwa mtu kupokea fedha zozote halali toka kwa yeyote.
Paskali.
Hiki nilichokisema humu, kimekuja kutokea kwa Mzee JR kukamatwa na kushitakiwa. Kiukweli kabisa, huyu Mzee ameshitakiwa kwa kuonewa bure, hana kosa lolote, baada ya Habinder Sing Sethi kukiri na kuachiwa huru, kinachofuatia ni Mzee JR kufutiwa kesi na kuachiwa huru bila masharti yoyote.

Wito wangu kwa Mzee JR, maadam karma imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake, hana sababu ya kudai fidia yoyote ya kutiwa ndani kwa zaidi ya miaka 4 bila kosa lolote, hakuna kiwango chochote cha fidia kinaweza kumfidia kwenye dunia hii, hivyo aiachie karma imalizane na watesi wake wengine waliobakia.

Welcome back uraiani Mzee wetu JR.
P
 
Wanabodi,

Ignorance Kwenye Mjadala wa Escrow
Ignorance hii imejidhihiri wazi kwenye huu mjadala wa Escrow unao endelea sasa, ambapo wengi wetu, tumejikita kwenye issue ya fedha za Escrow tuu, ambayo sio a very big deal!, fedha ya escrow ni matokeo tuu ya hili jinamizi linaloitwa IPTL!, hakuna anayezungumzia chanzo, na hiyo pesa iliyokuwa inawekwa kwenye hiyo account ya escrow ni fedha ndogo ya capacity charges only, bado Tanesco inalipa mabilioni kwa mabilioni ya kulipia Utilities huko huko IPTL, Aggreko, Simbion, Songas!, badala ya watu kujadili chanzo, na kwa nini tumefika hapa, wao wanajadili matokeo tuu!. Hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.

Je, Escrow Ndio Issue Sana Kivile? Au Issue ni IPTL? Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwanini Watu Wanataja Taja Tuu Majina? Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".

Paskali
Baada ya Mzee JR kuachiwa huru bila makosa yoyote, nayadurusu baadhi ya mabandiko yangu kuhusu kadhia hii, and I was 100% right. Bandiko hili lilikuwa linauliza kama Watanzania ni ignorants na nikasema anatafutwa mbuzi wa kafara, achinjwe, tufunike kombe mwanaharamu apite!. Ni kweli Mzee JR akakamatwa afanywe mbuzi wa kafara, watu wakisubiri siku tuu ya kuchinjwa, wafanye karamu. Bahati nzuri Mungu sii Athumani, mbuzi wa kafara hakuchinjwa na nadala yake kuna watu ya kuwakuta yamewakuta. Kuachiwa huku kunaendelea kuthibitisha jinsi tulivyo ignorant, unamshikilia mtu miaka mitano jela bila hatia yoyote kisha unamuachia!. Karma haitakuacha salama!.

Pia najua, itakuwa miongoni mwa masharti ya kuachiwa ni kutoishitaki serikali kudai fidia, lakini hata asiposhitaki, karma ya mateso yake, imeisha washughulikia baadhi ya watesi wake na waliobakia, karma yao inawasubiri.
Naendelea kusisitiza viongozi wetu tendeni haki.

Mzee JR, pole sana kwa mapito uliyopitia. Mungu ni mwema, shukuru kwa yote, karibu uraiani.

Paskali
 
Wanabodi,

Watanzania ni Ignorants; yaani Sisi Watanzania ni Wajinga?
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ma-ignorants!", yaani wengi wetu ni watupu kabisa vichwani mwetu au ni weupe tii!, na wengine wetu ni vichwa maji kabisa!, uwezo wa kufikiri "logical thinking", wa wengi wetu ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana, "to make informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe au mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issues halisi zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilichopelekea haya yatokanayo, yatokee, vyanzo haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!, tuna deal na matokeo tuu!, huu kama sio ujinga ni nini?.
Paskali


Kumbe unaamini nguvu ya CCM ipo kwenye ujinga 😂
Mkuu Gichbo, karibu mitaa hii
P
 
Back
Top Bottom