Errors in genesis


Mkuu kuwa muwazi tu, kitu unachojaribu kusema ni kuwa hakuna MUNGU
unazunguuuuuka..
 

Hebu onyesha jinsi neno la Mungu lilivyo'contain' fallacy sijaipata vizuri hiyo fallacy.
 
mtoa mada tuambie hivyo vifungu vya biblia ni kutoka toleo gani la biblia. Sijawahi kusoma biblia inayosema Mungu aliumba jua au mwanga siku ya nne. ukweli ni kwamba mwanga uliumbwa siku ya kwanza, na ndio ilikuwa kazi ya kwanza ya mungu
 
So you know you cannot find proof in religion. What are you looking for in the bible? What kind of proof are you asking for if you already know there is none?

Take it or leave it. Life goes on.

thanks for accepting that there is no proof&fact in bible

life can goes on as you said,but keep this cliche in your mind;"always blind faith is compatible with invalid dreams"
 
mtoa mada tuambie hivyo vifungu vya biblia ni kutoka toleo gani la biblia. Sijawahi kusoma biblia inayosema Mungu aliumba jua au mwanga siku ya nne. ukweli ni kwamba mwanga uliumbwa siku ya kwanza, na ndio ilikuwa kazi ya kwanza ya mungu

duh!...rudia kusoma tena,labda utanielewa mkuu.
 
Ungekuwepo wakat dunia inaumbwa ningekuelewa. Kile ambacho unaona kidunia principle kwa Mungu ni kinyume ukitaka kujua mwamini na uombe akuonyeshe majib ya maswali yako lakin sio kutumia principle za waumbwa

Siungemuomba akupe majibu ulete hapa sasa! Watu wengine sijui mnapost mkiwa mmelala au vipi.
 

The vast majority of christians regard the bible as both theological and historical documents
because if this is not a case,then the so called prophecies would not be fulfilled at all
from that perspective,bible is historical documents also,so events in genesis should be necessarily in chronological order

hence your primises above are invalid as well as your conclusion..
 
Mkuu Areta,watu kama hawa huwa wananichekesha sana
ananiambie niombe ili mungu anipe majibu
kwanini asiombe yeye ili apewe hayo majibu,baada ya kupewe ayalete hapa?...this is funny

Kwanza hakuna majibu yanayopatikana kwa kuomba. Yangekuwa yapo basi hawa wote wangekuwa wameshapata majibu na kuyaweka hadharani ili huu mjadala uishe
 
Kwanza hakuna majibu yanayopatikana kwa kuomba. Yangekuwa yapo basi hawa wote wangekuwa wameshapata majibu na kuyaweka hadharani ili huu mjadala uishe

you said it all princess

Maombi yangekuwa yanafanya kazi kusingekuwa na makapu ya sadaka makanisani
ni swala la kuomba pesa tu,kisha mungu anazileta!!
 
you said it all princess

Maombi yangekuwa yanafanya kazi kusingekuwa na makapu ya sadaka makanisani
ni swala la kuomba pesa tu,kisha mungu anazileta!!

Absolutely.
Ila sasa tatizo wana macho lakini hawaoni..... Wana masikio lakini hawasikii
 
Absolutely.
Ila sasa tatizo wana macho lakini hawaoni..... Wana masikio lakini hawasikii

Tunaishi kwa kutegemeana Jimena,so acha wachungaji wa make dollars mpaka hao wakristo wa jumapili watakaposhtuka!!
 

There are many incidents in the bible which scientists have failed to reckon from their theoretical frameworks. Magobe is right, the biblical account is a record of Gods acts in human history written within the context of our frames of mind! The Bible says one day in our lives is just like a thousand years in Gods perspective and vice-versa. The days of Genesis are either age long days or 24 hours days. A number of theories abound to that. In the book of Joshua, Joshua prayed that time will slow down so that he finishes a battle against his enemies. The Bible says the orbit which picks up days and nights was halted for 12 hours. Imagine! The sun stood still and the moon as well (according to the writer Moses). In the book of Job, God is also presented asking Job and his friends where were they when he was setting the orbit in place! Jesus calmed the blizzards in the Sea of Galilee. There is also resurrection: i.e. the coming back to life and ruptured to heaven like a spacecraft with no machines or turbo props. Enock was taken up that way but not dead! The same happened to Elijah - the chariots of God and their riders took him up. How can you explain the opening of the Red Sea? There is a bush that was burning but not consumed and Moses was attracted! Indeed the narratives in Genesis 1:1-31 are sequential rather than chronological. Follow up with the creation of man's story especially about Adams creation and that of Eve. Read chapters 1-3 and you should discover what I mean. I have left out some texts in some of my citations so as not to be too religious in this forum.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…