SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Habari zenu wana tech &gadgets,
Nina modem ya voda. Nimeitumia huu ni mwezi wa pili sasa, lakini inaanza ku-gererate errors za ajabu. Nikiiweka kwenye laptop yangu inaleta error inayosomeka:" Vodafone Mobile Broadband has encountered a problem and needs to close. We are sorry...." Halafu kweli inajifunga! Nina-restart computer na ku-reinstal modem na mambo yanaenda sawa.
Je, wataalam, tatizo ni nini? Kila ikisumbua nina-restart na kureinstall na vyote hivi ni usumbufu mkubwa. Nifanye nini cha maana kuondokana na usumbufu huu?
Nina modem ya voda. Nimeitumia huu ni mwezi wa pili sasa, lakini inaanza ku-gererate errors za ajabu. Nikiiweka kwenye laptop yangu inaleta error inayosomeka:" Vodafone Mobile Broadband has encountered a problem and needs to close. We are sorry...." Halafu kweli inajifunga! Nina-restart computer na ku-reinstal modem na mambo yanaenda sawa.
Je, wataalam, tatizo ni nini? Kila ikisumbua nina-restart na kureinstall na vyote hivi ni usumbufu mkubwa. Nifanye nini cha maana kuondokana na usumbufu huu?