Erolink na nbc kuna nini????

Erolink na nbc kuna nini????

NAFIKIRI WEWE NI MMOJA WA KADA WA eROLINK...NAJUA WAMEKUTUMA HAPA HAPA ...ILA WAPE TAARIFA DAWA IPO JIKONI HAWAWEZI KUENDELEA KUNYANYASA WADOGO ZETU..FIKISHA HIZO SALAAM.....DARTHTZ
 
Adebisi,
Kwanza kabisa huyo ndugu yako ameajiriwa na Erolink na vetting yake yote inafanywa na Erolink, NBC ameingia mkataba na Erolink, vile vile sio sehemu zote Bank hawa temporary wana access nako. Sehemu nyingine kuna supervisory module ama dual control. Kwa haraka haraka hapa NBC amepeleka risk kubwa kwa Erolink. Chotechote kikitokea hapo lazima Erolink alipe, hivyo ni jukumu lake kufanya vetting nzuri na ya uhakika zaidi.
 
Huyo mdogo wako ni sawa na mdogo wangu,yeye wamemweka headquaters lakini hali yake ni mbaya sana.
Ni kweli BOT waliangalie hili suala.

BOT waachie kuangalia mambo makubwa warudi kuangalia temporary staff!! Wao wapo kwenye decission maker zaidi na kuangalia mwenendo mzima wa Bank. Karibu
 
HATARI zaidi wamewapa access ya kila Kitu wakitaka kuwapiga ni very simple..BOT IPO , wizara ya kazi IPO..sijui wanafanya nini?? Mbaya zaidi hao EROLINK hawawatreat fairly hao wafanyakazi..wanawafanya kama vibarua wao wakati wanawaingizia fedha..wanatumia unyonge wao wa kutokuwa na ajira kuwanyanyasa...!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Fanya resaerch yako vizuri, sio rahisi kwa Temporary staff kupewa full access ya kila mahali!!! Hata full employment wenyewe hakuna mwenye full access kila mahali. Karibu
 
the same to SPANCO,INFINITY...hyo maharage chande anamiliki softnet pia ambayo aliichomeka voda wakati yupo hapo pia akataka kuichomeka nbc kuitoa infosys lakini inaonekana pale alichemka(infosys inamilikiwa na waziri kwn kabinet ya JK) baada ya kuchemka huko ndo akaichomeka hiyo erolink kwnye ajiraa, sasa hv ukiena pale nbc watu wamekata tamaa wapo tu kwa sababu hawana pa kwenda., hiyo ndo inawafanya waibe sana...bank imefulia ile unaambiwa deposit waliyonayo bot ni aibu hata kuisema. Ila jamaa ni tough sana yupo karibu sana na serikali(u knw wht i mean). am out :majani7::majani7::majani7:
 
Si bora mdogo wako anafanya kazi bila permanent contract lakini pesa kidogo ana iona .nenda voda mcity uone cuatomercare walivyo jazana wanaharibu masikio mazingira ya kazi magumu mshara 190net gross 245tsh afu uki miss kazini siku unakatwa mshara wako wa siku hiyo ambayo ni masaa nane.chezea erolink
 
Mkuu erolink nijanga
Nliwaifanya nao vodacom kitengo cha customercare wanyanyasaji hasa na istoshe wamepandikiza watu wao pia so kila mnachotakakukifanya kupigania maslai wao wanakijua dawa ni kuachana nao tu mana hawakamatiki popote.wanatumia ubabe wanafukuza kama mbwa

Hawa elorink ni wezi na matapeli wakubwa mimi pia nilifanya nao kazi yaani ni dhuluma wizi na uchoyo vimetawala ofisi zao imagine mtu unatakiwa kulogin saa 6asubuhi hadi saa 3jioni then siku 6 off 1 then mshahara kwa mwezi laki 240000 najua kama mtu hujawahi fanya nao kazi utaona ndoto ila ndo ukweli halisi.Hii cha mtoto mshahara waweza kukulipa kwa awamu mala laki mwezi ujao elfu 50 nk.Watu wanateseka sana sijui serikali yetu haijui hili au nao wanafungu mhhh!!
 
Acheni ujima ...hao erolink ndio mfumo wa sasa duniani...mnataka mpaka mfagiaji aajiriwe...hebu tuacheni siasa mbona hamlalamikk ndugu zenu wanaopiga box ulaya miaka 30 bila ajira permanent.....hahahahah...duh tatizo hao wadogo zenu ni failures ...wame feli feli wee mpaka hapo ndio wameangukia....

Sent from JamiiForums
 
Acheni kubwatuka hamna facts, research wala law...duh hyo data ya 70% hata sijui mmeitoa wapi ...aluu bado inabidi tujielimishe


Sent from JamiiForums

Mkuu elvis kamanyile ndugu yako nn omba mungu usiiingie anga zao kaka nenda mlimanycity vodacustomercare uone watu walivyokufa masikio kwa kuongea na wateja mia tatu kwa siku kwa mshahara wa 240000 acha kabisa
 
Back
Top Bottom