Eritrea panatisha, Bora Tanzania

Ethiopia ya kale ndo iko mawazoni mwako, waziri mkuu wao kawa mtamu kwa democracy mpaka kapata Nobel prize, chezea wenye roho nzuri wewe
 
Mambo ya 'UKUTA' marufuku !
 
...mnahangaika !
 
Hao fastjet na precision walikuwa wanahonga watu waiue ATCL
 
Hujiulizi wazungu wachache waliwezaje kutufunga minyororo kwenye ardhi!,...mchawi wa waafrika ni yule anaetufundisha historia ya kwamba tulitawaliwa ...hi ni historia mbaya ambayo hatupaswi kuijua...maana inatufanya tujione waovyo
Ni mindset mbona wwenzetu nao walitawaliwa Leo wako mbali wakikimbizana kiuchumi na waliowatawala.Hali Africa imerudi nyuma baada ya uhuru heri wangewaacha waendelee kutawala
 
Nchi ya kipuuzi Sana hiyo sipati picha wananchi wake wanavyoteseka
mji wao mkuu unaitwa Asmara
 
Mkuu ni warembo kweli ila mila zao za kutoa FGM sijui Kama wameacha

Nilikuwa Asmara mwezi May mwaka huu, mmoja wa mbongo tuliyekuwa naye, akamtania binti mmoja kuwa anataka kumuoa aje naye Dar, ilikuwa shida....binti alifurahi sana na alikuwa tayari kabisa.........wako desperate sana, wanaishi kijamaa. Na cha ajabu, kama umeingia Asmara, huruhusiwi kwenda mji mwingine bila kibali, hata kama walikupa viza.
 
Sijakuelewa mkuu, hata Ulaya maana yake nini? Je, Ujerumani inailalamikia Africa au wajerumani kwa Ujerumani yao?
Si Afrika tu bali hata Ulaya. Mpaka leo Ulaya na hasa Ujerumani inajiuliza swali hilo hilo. "Hivi mtu mmoja anawezaje kuwaburuza mamilioni ya watu atakavyo?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…