Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,760
- 8,527
Unanijua unanisikia?Wewe ambaye hujaishia la saba mbona shigongo kakuongoza kwenye maisha.. kakuzidi mbali
Unanijua unanisikia?Wewe ambaye hujaishia la saba mbona shigongo kakuongoza kwenye maisha.. kakuzidi mbali
Unanijua unanisikia?
Utazani alizaliwa kipindi cha hamna ajira,,,, kajikamua kujiajiri ndo apate hizo degree, wakati tuna mabehewa yamejaza madegree mtaani balaa.Watu wana wivu...wakati hata wao shigongo kawazidi kila kitu kwenye maisha? Kutengeneza pesa ni kipimo cha akili.. shigongo ana akili kuwazidi wanaompinga
Hongera kubwa sana
Yaani kapambania kujiajiri ndo aipate elimu.
Full vise versa ningejuaga hata Mimi chekechea nsingeanza KBS.
Hongera shigongo.
Utazani alizaliwa kipindi cha hamna ajira,,,, kajikamua kujiajiri ndo apate hizo degree, wakati tuna mabehewa yamejaza madegree mtaani balaa.
Kuna la kujifunzaChuoni anaenda na magari ya bei juu.. mpaka ma lecture wanayashangaa.. kasoma kibabe sana shigongo... yeye kila desa ama kitabu anapewa moja kwa moja haangaiki kutoa ma photocopy.. baadae anapewa bill tu na mwalimu.. analipia
Mimi sijaelewa kwamba ameenda kuchukua degree akiwa na elimu ya darasa la saba?
Mafanikio katika nn?Kwa hiyo umemzidi mafanikio shigongo?
Hivi hujaona kama hilo ni swali kwa maana nimeweka kiulizo mwishoni na hilo neno kuwa mimi sijaelewa bado haijatosha kujua kwamba sijaelewa na sio kusema haiwezekani.Hata havard inawezekana. Hujui mature entry system...ama shahada ya kurasimisha ujuzi
Darasa la saba kaongoza!?? Ha ha ha haaaaaaaaaaaaa. Wanaume wa Dar mmelegea sana jamani.
Mafanikio katika nn?
natamani nimtungie test na nimsimamie nione atapata ngapiHe deserve it
Swali zuri sana!!!Kimaisha.. kutatua changamoto zilizokuzunguka na kusaidia jamii kama kuwapa ajira katika kampuni zako
natamani nimtungie test na nimsimamie nione atapata ngapi