Erick Shigongo awa Mwanafunzi bora Chuo cha Tumaini

Hongera kubwa sana



Yaani kapambania kujiajiri ndo aipate elimu.

Full vise versa ningejuaga hata Mimi chekechea nsingeanza KBS.


Hongera shigongo.

Shigongo ameenda kusoma digrii.. sababu ilikuwa ndoto yake na mama yake. Walikuwa maskini sana... ndio maana hata baada ya kupata utajiri akaamua kwenda kutimiza ndoto... yeye digrii kasoma ku enjoy tu masomo na ku experience maisha ya mwanachuo...
 
Utazani alizaliwa kipindi cha hamna ajira,,,, kajikamua kujiajiri ndo apate hizo degree, wakati tuna mabehewa yamejaza madegree mtaani balaa.

Chuoni anaenda na magari ya bei juu.. mpaka ma lecture wanayashangaa.. kasoma kibabe sana shigongo... yeye kila desa ama kitabu anapewa moja kwa moja haangaiki kutoa ma photocopy.. baadae anapewa bill tu na mwalimu.. analipia
 
Chuoni anaenda na magari ya bei juu.. mpaka ma lecture wanayashangaa.. kasoma kibabe sana shigongo... yeye kila desa ama kitabu anapewa moja kwa moja haangaiki kutoa ma photocopy.. baadae anapewa bill tu na mwalimu.. analipia
Kuna la kujifunza
 
Back
Top Bottom