morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
Bank ya Equity Arusha leo siku ya 15 wameshindwa kutupatia pesa zetu tuliohifadhi katika bank hiyo, tunaomba bank kuu ifuatilie jambo hili haraka.
Kuna kila dalili bank hii imefilisika au kuna wizi mkubwa umefanyika. Isijekuwa kama bank ya Greenland wakati ule, kwani haiwezekani kutuambia hawatupi hela zetu kisa mtandao wa internet ni mbovu.
Bank kuu tunaomba mwingilie kati mara moja kabla hii bank kutoka Kenya haijatoweka na mamilioni yetu. Ajabu sana, yaani siku kumi na tano unanyimwa kuchukua pesa yako. Imekuwa Uturuki!? Na taarifa pia kwa ubalozi wa Kenya hapa Tanzania.
Nawasilisha
Kuna kila dalili bank hii imefilisika au kuna wizi mkubwa umefanyika. Isijekuwa kama bank ya Greenland wakati ule, kwani haiwezekani kutuambia hawatupi hela zetu kisa mtandao wa internet ni mbovu.
Bank kuu tunaomba mwingilie kati mara moja kabla hii bank kutoka Kenya haijatoweka na mamilioni yetu. Ajabu sana, yaani siku kumi na tano unanyimwa kuchukua pesa yako. Imekuwa Uturuki!? Na taarifa pia kwa ubalozi wa Kenya hapa Tanzania.
Nawasilisha