NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Kuna hizi windows za kudownload kutoka mitandaoni hususan kwenye torrents huwa zimekuwa cracked, pre activated na nyingine zipo modded
Ndizo windows ambazo wengi hutumia hapa bongo sababu kuu ni kukwepa gharama ya window original, bei imechangamka inafikia takribani laki 3, hata baadhi ya ofisi za serikalini kuna IT wanapewa pesa kununua windows original lakini wanaingia tamaa kucheza mchezo wa kuingiza hizo pesa mifukoni, kwenye computer za ofisini wanaweka windows za kuchakachua.
Hatari ya windows za kuchakachua ni kwamba zimeguswa, mchakachuaji anayachezea mafaili ya window original ili itumike bure huwa anafuta, ku edit au kuongeza mafaili. sasa kuna baadhi ya mafaili huwa yakiguswa yanafanya window isumbue, inaweza kuwa ni hatua ya kampuni kukabiliana na uchakachuaji wa bidhaa zake, mchakachuaji akiyagusa basi window hio itakuwa na matatizo (bugs) kwa watumiaji, mfano unakuta pc inakua nzito, inapata joto, kuganda, n.k. matatizo yanakuja kugundulika kwa watumiaji baadae kabisa.
Wachakachuaji wengine wakizigusa hizi windows huwa kwa maksudi wanatia ndani mambo yao wanatia ndani spyware software za kukuchunguza unachofanya kwenye pc mfano kuitumia kamera yako bila wewe kujua, wanatia ndani virus aina ya ransomware wanaofungia mafaili kukutaka uyakomboe kwa kuwalipa pesa ama kuyafuta, wanatia ndani bots za kuwafanya waitumie pc yako bila ridhaa yako mfano kuitumia pc yako kuminya matangazo ya blogs zao, n.k.
Pia linapokuja suala la ku activate windows, kuna software nyingi kwenye windows ukiweka zinakamatwa kama virusi kwa hio inabidi uzime kabisa ulinzi ili zitumike, kuna matoleo ya software kama kmspico wadukuzi wamezivamia wametia ndani madubuwasha yao, hii ni hatari sana.
1. JINSI YA KUDOWNLOAD WINDOWS ORIGINAL
1. Fuata hatua hizi kudownload windows original kutoka official source ya microsoft
Unavyo install windows hakikisha umezima internet, kwenye hatua ya kuingiza key tumia google kama kwenye picha, hizi ni kwajili ya kupigia tu window, sio matumizi rasmi.
2. KU ACTIVATE WINDOWS KWA USALAMA BILA SOFTWARE
Software za ku activate nazo zimeingiliwa na wahuni sikuhizi wametia madubuwasha yao ndani na ubaya ni kwamba ili zitumike inabidi uzime kabisa anti virus, hii ni hatari sana unaweza fungulia mlango mafuriko ya virusi.
kwa maelezo yafuatayo utaweza ku activate windows kwa urahisi bila software yoyote:
a.ukimaliza kupiga window unga internet.
b.Fungua command prompt kama admin
Mwanzoni kule tunavyopiga window ile hatua ya kuweka key ilikuwa ni ya kupita kizuizi tu, sio hatua ya kudumu na tukiacha hivyo hivyo window itaanza kukera kudai key kila mara na hata tukitumia zile za google zinadunda, hata zikikubali zinaweza kukusumbua huko mbele.
c. fuata hizi hatua kwenye video ili kusakafia kabisa activation iwe ya kudumu, tumia hata keys zile zile ulizotumia kwenye kupiga window ila kwa kutumia mbinu ya kwenye video.
DONE!!!!
Tahadhari: hatua hizi ni za kukwepa tu hatari za window zilizoguswa zenye matatizo ama kuwekwa wadudu na kukwepa software za activation zenye wadudu, kwenye matumizi ya window unapoweka software zilizovunjwa kunaweza kukuhatarishia ulinzi, be careful unapo weka hizo siftware umezipata kutoka websites walau credible na wahusika waliovunja wana reputation ya kujali usalama.
Ndizo windows ambazo wengi hutumia hapa bongo sababu kuu ni kukwepa gharama ya window original, bei imechangamka inafikia takribani laki 3, hata baadhi ya ofisi za serikalini kuna IT wanapewa pesa kununua windows original lakini wanaingia tamaa kucheza mchezo wa kuingiza hizo pesa mifukoni, kwenye computer za ofisini wanaweka windows za kuchakachua.
Hatari ya windows za kuchakachua ni kwamba zimeguswa, mchakachuaji anayachezea mafaili ya window original ili itumike bure huwa anafuta, ku edit au kuongeza mafaili. sasa kuna baadhi ya mafaili huwa yakiguswa yanafanya window isumbue, inaweza kuwa ni hatua ya kampuni kukabiliana na uchakachuaji wa bidhaa zake, mchakachuaji akiyagusa basi window hio itakuwa na matatizo (bugs) kwa watumiaji, mfano unakuta pc inakua nzito, inapata joto, kuganda, n.k. matatizo yanakuja kugundulika kwa watumiaji baadae kabisa.
Wachakachuaji wengine wakizigusa hizi windows huwa kwa maksudi wanatia ndani mambo yao wanatia ndani spyware software za kukuchunguza unachofanya kwenye pc mfano kuitumia kamera yako bila wewe kujua, wanatia ndani virus aina ya ransomware wanaofungia mafaili kukutaka uyakomboe kwa kuwalipa pesa ama kuyafuta, wanatia ndani bots za kuwafanya waitumie pc yako bila ridhaa yako mfano kuitumia pc yako kuminya matangazo ya blogs zao, n.k.
Pia linapokuja suala la ku activate windows, kuna software nyingi kwenye windows ukiweka zinakamatwa kama virusi kwa hio inabidi uzime kabisa ulinzi ili zitumike, kuna matoleo ya software kama kmspico wadukuzi wamezivamia wametia ndani madubuwasha yao, hii ni hatari sana.
1. JINSI YA KUDOWNLOAD WINDOWS ORIGINAL
1. Fuata hatua hizi kudownload windows original kutoka official source ya microsoft
Unavyo install windows hakikisha umezima internet, kwenye hatua ya kuingiza key tumia google kama kwenye picha, hizi ni kwajili ya kupigia tu window, sio matumizi rasmi.
2. KU ACTIVATE WINDOWS KWA USALAMA BILA SOFTWARE
Software za ku activate nazo zimeingiliwa na wahuni sikuhizi wametia madubuwasha yao ndani na ubaya ni kwamba ili zitumike inabidi uzime kabisa anti virus, hii ni hatari sana unaweza fungulia mlango mafuriko ya virusi.
kwa maelezo yafuatayo utaweza ku activate windows kwa urahisi bila software yoyote:
a.ukimaliza kupiga window unga internet.
b.Fungua command prompt kama admin
Mwanzoni kule tunavyopiga window ile hatua ya kuweka key ilikuwa ni ya kupita kizuizi tu, sio hatua ya kudumu na tukiacha hivyo hivyo window itaanza kukera kudai key kila mara na hata tukitumia zile za google zinadunda, hata zikikubali zinaweza kukusumbua huko mbele.
c. fuata hizi hatua kwenye video ili kusakafia kabisa activation iwe ya kudumu, tumia hata keys zile zile ulizotumia kwenye kupiga window ila kwa kutumia mbinu ya kwenye video.
DONE!!!!
Tahadhari: hatua hizi ni za kukwepa tu hatari za window zilizoguswa zenye matatizo ama kuwekwa wadudu na kukwepa software za activation zenye wadudu, kwenye matumizi ya window unapoweka software zilizovunjwa kunaweza kukuhatarishia ulinzi, be careful unapo weka hizo siftware umezipata kutoka websites walau credible na wahusika waliovunja wana reputation ya kujali usalama.