Lecheminduroi2 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2025 Posts 265 Reaction score 667 Mar 30, 2025 #81 Binti Sayuni03 said: Mwanaume anayefanya hayo mambo namchukia sana aisee Click to expand... Lakini hela zetu unazipenda sio? Ni wazi mnajua walevi tunahonga kuliko wazee wa kanisa! Tukiwachukia pia mtakufa njaa 😀
Binti Sayuni03 said: Mwanaume anayefanya hayo mambo namchukia sana aisee Click to expand... Lakini hela zetu unazipenda sio? Ni wazi mnajua walevi tunahonga kuliko wazee wa kanisa! Tukiwachukia pia mtakufa njaa 😀
Lecheminduroi2 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2025 Posts 265 Reaction score 667 Mar 30, 2025 #82 min -me said: Pombe inyweke lakini kwa kiasi👏 Click to expand... Kwa kiasi ina idadi? We bamiza tu ukiona umezidiwa kalale, masuala ya weekend kuondoka bar saa 1 usiku siwezi. 😀
min -me said: Pombe inyweke lakini kwa kiasi👏 Click to expand... Kwa kiasi ina idadi? We bamiza tu ukiona umezidiwa kalale, masuala ya weekend kuondoka bar saa 1 usiku siwezi. 😀
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,934 Reaction score 129,118 Mar 30, 2025 #83 Dr am 4 real PhD said: Sigara naonaga ni UJINGA mtupu Ila dar es salaam inaongoza kwa wavuta sigara wengi mpaka vijana wadogo kabisaa.. Click to expand... Dah mtu akivuta hiyo mambo halafu ukute na vitu vyangu kichwani naona kukosa pumzi kabisa😄
Dr am 4 real PhD said: Sigara naonaga ni UJINGA mtupu Ila dar es salaam inaongoza kwa wavuta sigara wengi mpaka vijana wadogo kabisaa.. Click to expand... Dah mtu akivuta hiyo mambo halafu ukute na vitu vyangu kichwani naona kukosa pumzi kabisa😄
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,934 Reaction score 129,118 Mar 30, 2025 #84 Lecheminduroi2 said: Kwa kiasi ina idadi? We bamiza tu ukiona umezidiwa kalale, masuala ya weekend kuondoka bar saa 1 usiku siwezi. 😀 Click to expand... Wewe ni chapombe master😁
Lecheminduroi2 said: Kwa kiasi ina idadi? We bamiza tu ukiona umezidiwa kalale, masuala ya weekend kuondoka bar saa 1 usiku siwezi. 😀 Click to expand... Wewe ni chapombe master😁
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 18,356 Reaction score 37,171 Mar 30, 2025 #85 min -me said: Dah mtu akivuta hiyo mambo halafu ukute na vitu vyangu kichwani naona kukosa pumzi kabisa😄 Click to expand... Upo Kama Mimi sipendagi kabisa izo kero za mamoshi😊
min -me said: Dah mtu akivuta hiyo mambo halafu ukute na vitu vyangu kichwani naona kukosa pumzi kabisa😄 Click to expand... Upo Kama Mimi sipendagi kabisa izo kero za mamoshi😊
Dr am 4 real PhD JF-Expert Member Joined Jun 30, 2016 Posts 18,356 Reaction score 37,171 Mar 30, 2025 #86 min -me said: Wewe ni chapombe master😁 Click to expand... Cha pombe konki master
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 46,934 Reaction score 129,118 Mar 30, 2025 #87 Dr am 4 real PhD said: Cha pombe konki master Click to expand... Pombe ina level yake ya starehe ikizidi hapo ni mateso tu
Dr am 4 real PhD said: Cha pombe konki master Click to expand... Pombe ina level yake ya starehe ikizidi hapo ni mateso tu
Andromeda Galaxy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 5,520 Reaction score 7,143 Mar 30, 2025 #88 Fact tupu
acachube JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 382 Reaction score 534 Mar 30, 2025 #89 mapema said: Yalisha ongelewa sana hapa hayo! Hamna jipya hapo. Click to expand... Uzi ufungwe
kiss ov love JF-Expert Member Joined Jan 21, 2025 Posts 9,363 Reaction score 16,092 Mar 30, 2025 #90 Lecheminduroi2 said: Lakini hela zetu unazipenda sio? Ni wazi mnajua walevi tunahonga kuliko wazee wa kanisa! Tukiwachukia pia mtakufa njaa 😀 Click to expand... 😁😁😁uongo walevi hamuhongi sana mnaona kuliko kutoa hela ni heri mtu umnunulie pombe anywe
Lecheminduroi2 said: Lakini hela zetu unazipenda sio? Ni wazi mnajua walevi tunahonga kuliko wazee wa kanisa! Tukiwachukia pia mtakufa njaa 😀 Click to expand... 😁😁😁uongo walevi hamuhongi sana mnaona kuliko kutoa hela ni heri mtu umnunulie pombe anywe
little master JF-Expert Member Joined Jul 16, 2018 Posts 2,098 Reaction score 3,990 Mar 30, 2025 #91 Unakuta mwanaume unajipendekeza kwa wakubwa kazini na kuharibia wenzako na mnakaa kusema sema wenzenu (majungu) alafu linarudi home respect.
Unakuta mwanaume unajipendekeza kwa wakubwa kazini na kuharibia wenzako na mnakaa kusema sema wenzenu (majungu) alafu linarudi home respect.
Fabian Vitus JF-Expert Member Joined Jul 18, 2022 Posts 6,339 Reaction score 8,227 Mar 30, 2025 #92 Imasikitisha Mwachiluwi said: Wanaume, Mambo haya unatakiwa kuyaepuka sana, Pornography Uvutaji sigara Punyeto/kujichua Unywaji pombe kupita kiasi Dawa za kuongeza nguvu za kiume Hayo mambo yanakufanya uwe dhaifu mno. Click to expand... Imasikitisha sana kijana unaenda kuona pono na vinywaji vikali
Imasikitisha Mwachiluwi said: Wanaume, Mambo haya unatakiwa kuyaepuka sana, Pornography Uvutaji sigara Punyeto/kujichua Unywaji pombe kupita kiasi Dawa za kuongeza nguvu za kiume Hayo mambo yanakufanya uwe dhaifu mno. Click to expand... Imasikitisha sana kijana unaenda kuona pono na vinywaji vikali
mbwangali JF-Expert Member Joined Jan 8, 2021 Posts 2,978 Reaction score 5,135 Mar 30, 2025 #93 Kua kingine umesahau sio lazima ila muhimu MKATABA WA NDOA