Kungurumweupe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 317
- 103
Roya Roy,Masanja,Kungurumweupe,
..kuna yeyote yule mwenye majibu ya Waziri wa Miundo mbinu?
..nitashangaa sana kama habari hii itaishia na madai ya Mporogomyi tu, bila kuweka majibu ya waziri mhusika.
NB:
..shahada ya Construction Economics, ina maana Mrema ni quantity surveyor au?
Binafisi sijafanikiwa kupata majibu ya waziri, lakini nafuatilia. Huu ufisadi wa tanroads hauwezi kufumbiwa macho hivihivi. Lazima kieleweke.