Hakuna kitu anachokipenda Mtanzania kama kudanganywa. Na hii ndio njia pekee ya kuishi na mtu mnafiki, huwezi kuishi na mtu mnafiki vizuri bila kumdanganya.
Nashangaa Watanzania wenzangu kuanza kupiga vigelele vya kulipwa trillion 100 na kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia inayosemekana imeibia nchi ma trillion ya shilingi. Ebu tujikumbushe kidogo kwa kile kilichotokea baada ya uchaguzi wa 2005 ambao uliambatana na ufisadi wa fadha ya EPA...muda simrefu tulishangilia kwa vigelele tulipoambiwa kuwa walioiba pesa hiyo wamepatikana na wamekubali kuanza kurudisha pesa hiyo, bila kumung'unya maneno ulikuwa uongo mkubwa tuliodanganywa Wadanganyika na kwa unafiki wetu tulimsifia sana Rais. Ebu semeni kweli hivi mabilioni ya EPA yalirudi yakafanya kazi gani?
Nakama kweli yalirudi inawezekana mwizi aliyekuibia kufanya naye mazungumzo, je mahakama ya mafisadi wamejengewa wakina nani?
Hili la trillion 100 ni EPA nyingine, kwa sababu ya unafiki wetu tunaendelea kudanganywa. Leo kwa macho yasiyokuwa na chembe ya aibu ccm wanadai kuwa wale waliokuwa wanapigania sheria za uchimbaji wa madini na mikataba ifanyiwe review upya, na wao ccm waliosaini na kuipitisha kwa ndiooooooooooo kuwa wanatetea wezi ila wao ambao ni wezi walioshirikiana na wezi wenzao ndio wanaotetea taifa.
Hakuna mtu mwenye akili timu anayeweza kukubaliana na uongo huu kwamba Acacia wanaenda kulipa trillion 100 that can't happen under the sun ni uongo wa kuwazubaisha Watanzania kama ule wa EPA
Nashangaa Watanzania wenzangu kuanza kupiga vigelele vya kulipwa trillion 100 na kampuni ya uchimbaji madini ya Acacia inayosemekana imeibia nchi ma trillion ya shilingi. Ebu tujikumbushe kidogo kwa kile kilichotokea baada ya uchaguzi wa 2005 ambao uliambatana na ufisadi wa fadha ya EPA...muda simrefu tulishangilia kwa vigelele tulipoambiwa kuwa walioiba pesa hiyo wamepatikana na wamekubali kuanza kurudisha pesa hiyo, bila kumung'unya maneno ulikuwa uongo mkubwa tuliodanganywa Wadanganyika na kwa unafiki wetu tulimsifia sana Rais. Ebu semeni kweli hivi mabilioni ya EPA yalirudi yakafanya kazi gani?
Nakama kweli yalirudi inawezekana mwizi aliyekuibia kufanya naye mazungumzo, je mahakama ya mafisadi wamejengewa wakina nani?
Hili la trillion 100 ni EPA nyingine, kwa sababu ya unafiki wetu tunaendelea kudanganywa. Leo kwa macho yasiyokuwa na chembe ya aibu ccm wanadai kuwa wale waliokuwa wanapigania sheria za uchimbaji wa madini na mikataba ifanyiwe review upya, na wao ccm waliosaini na kuipitisha kwa ndiooooooooooo kuwa wanatetea wezi ila wao ambao ni wezi walioshirikiana na wezi wenzao ndio wanaotetea taifa.
Hakuna mtu mwenye akili timu anayeweza kukubaliana na uongo huu kwamba Acacia wanaenda kulipa trillion 100 that can't happen under the sun ni uongo wa kuwazubaisha Watanzania kama ule wa EPA