Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,702
Trillion 100 in Zimbabwe Currency au ??
CCM mtaji wao ni wajingahivi hawa watu wanazijua hizo tillion 100? Hata kama sisi ni wajinga , lakini kwa hili hapana , tusidanganyane mchana wa jua kali hivi.
Sent from my TECNO R7 using JamiiForums mobile app
Ha haaaa haaaaaa ko unaamini acacia watalipa trillion 108 za kwenye ripoti ya osoroAshinde kwa mchezo upi! maana kama mpira wa miguu ball possession ya JPM ni 99% na tobo 1% ball on target 10, goals JPM 10 tobo 0, ndo kwanza dakika ya tano.