Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,292
Shem shem shem.
Haya,ila wewe ulikuwa hujazaliwa na wala ki-embryo hujawa.
mie nimezaliwa kipindi hakuna soda, siku za sikukuu tulikua tunatengenezewa juisi ya malimao au machenza....
wali maharage ndio ilikua habari ya mjini...
kuku alikuwa haliwi mpaka azeeke, kama ni jogoo mpaka atage yai