Maisha bhana eti siku hizi ni mh anapigiwa saluti
Hahaahaaa.......Maisha bhana eti siku hizi ni mh anapigiwa saluti
Hahaahaaa.......
Naskia alipandishwa baada ya kumpindua cheupe..
Time ndio mwalimu mwenye amefanya matokeo ya leo aiseeeeHao waliosoma nae sjui hawakujua namna ya kumwimbia pambio nzuri huyu
Hongera kwa kuongeza maisha mkuu....Hahahaa, nimecheka peke angu apa nilipo
Chezea papuchi ww?!!!Maisha bhana eti siku hizi ni mh anapigiwa saluti
Mungu awajalie maisha marefu hawa wazee wetuKabla hawaja tofautishwa na siasa sikuzile za urafikiwao, walikua bado ni marafiki wa karibu sana....View attachment 910979
Ina mana hapo alitoa Ndo akapewa? ¿Chezea papuchi ww?!!!