Enzi za Rais Kikwete tuliambiwa mkongo wa Taifa ukikamilika gharama za Intaneti zitashuka

live on

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
791
1,266
Serikali ya Kikwete ilituaminisha Kwamba dawa pekee ya kuwa na internet ya uhakika na bei rahisi ni kutandika mkongo wa taifa nchini kwete Tanzania

Na harakati za kutandika mkongo wa taifa tulikuwa tunaziona zikiendelea hadi sasa nahisi kazi ya kutandika mkongo wa taifa ilishakamilika

Sasa iweje leo Kila siku bei ya vifurushi vya internet inapanda inamaana tulidanganywa au ule mradi wa mkongo wa taifa ulifeli ? cc TCRA
 
Kwani sasa hivi ni ghali,mbona rahisi tu, tunakaribia kufikia mb 20 kwa shiling 1500,tusiwaze sana, maisha ni kuchagua kutumia internet au kuacha, kwanza watanzania watumie internet ya nini wakati kazi yao ni kukosoa tu, kwanza internet ni anasa ya nini sasa kwa wananchi wanyonge, wanyonge kazi yao ni kula kulala siku ikiisha basi.
Sasa ni zama za mnyonge kunyongwa.
 
Serikali ya Kikwete ilituaminisha Kwamba dawa pekee ya kuwa na internet ya uhakika na bei rahisi ni kutandika mkongo wa taifa nchini kwete Tanzania

Na harakati za kutandika mkongo wa taifa tulikuwa tunaziona zikiendelea hadi sasa nahisi kazi ya kutandika mkongo wa taifa ilishakamilika

Sasa iweje leo Kila siku bei ya vifurushi vya internet inapanda inamaana tulidanganywa au ule mradi wa mkongo wa taifa ulifeli ? cc TCRA
Umenikumbusha Bandari ya bagamoyo
 
Gharama haziwezi kushuka kwani mawasiliano ndio kitega uchumi kikubwa cha kodi zinazotozwa na hawa mafisadi, kwa sasa hii sekta ndio wanapovuna! Si tunakumbuka makampuni ya Simu yalitetea wateja wasilipie line za Simu? Sasa kibano kimeelekezwa kwetu wateja, internet juu, airtime juu na hakuna fisadi yeyote anayepigia debe faida ya mkongo wa taifa kwani wanajua ukweli kuwa ilikuwa danganya Toto! Ni km wanavyotudanganya kuwa gesi itashusha garana za umeme lakin tangu ichontwe huko ilipo gharama ni hizihizi na watu wako kimya, wakifikiria kuanzisha mradi mwingine wa Stiggler's Gorge!
 
Serikali ya Kikwete ilituaminisha Kwamba dawa pekee ya kuwa na internet ya uhakika na bei rahisi ni kutandika mkongo wa taifa nchini kwete Tanzania

Na harakati za kutandika mkongo wa taifa tulikuwa tunaziona zikiendelea hadi sasa nahisi kazi ya kutandika mkongo wa taifa ilishakamilika

Sasa iweje leo Kila siku bei ya vifurushi vya internet inapanda inamaana tulidanganywa au ule mradi wa mkongo wa taifa ulifeli ? cc TCRA

Mrithi wake JMK Yeye alisema haipendi.
 
Serikali ya Kikwete ilituaminisha Kwamba dawa pekee ya kuwa na internet ya uhakika na bei rahisi ni kutandika mkongo wa taifa nchini kwete Tanzania

Na harakati za kutandika mkongo wa taifa tulikuwa tunaziona zikiendelea hadi sasa nahisi kazi ya kutandika mkongo wa taifa ilishakamilika

Sasa iweje leo Kila siku bei ya vifurushi vya internet inapanda inamaana tulidanganywa au ule mradi wa mkongo wa taifa ulifeli ? cc TCRA
Vipi kuhusu mradi wa gesi? Tuliaminishwa bei ya gesi itashuka lakini badala yake??

Tumeambiwa mradi wa bwawa la kuzalisha umeme ya Julius Nyerere likikamilika bei ya umeme itashuka. Lakini kitakachotokea nadhani unakijua
 
Kwani sasa hivi ni ghali,mbona rahisi tu, tunakaribia kufikia mb 20 kwa shiling 1500,tusiwaze sana, maisha ni kuchagua kutumia internet au kuacha, kwanza watanzania watumie internet ya nini wakati kazi yao ni kukosoa tu, kwanza internet ni anasa ya nini sasa kwa wananchi wanyonge, wanyonge kazi yao ni kula kulala siku ikiisha basi.
Sasa ni zama za mnyonge kunyongwa.
Washenzi hujadili hoja kishenzi ili mradi wametupia neno la kishenzi. Ni fedheha na aibu kwamba mtu hajui umuhimu wa internet zama hizi. Huwezi kukwepa matumizi ya internet katika elimu , afya ,biashara,nk . Sijui mwenzetu yupo pori lipi.
 
Gharama hazipo juu. Ila ni upuuzi wa kuwachaji michango yasiyo na maana hovyo hovyo.....
 
Siwezi sahau halafu walikuaga wanarusha itv kwamba gesi ikifika kinyerezi mgao utabaki historia ifikapo mwezi September 2015
Tulidanganywa mengi sana wakati huo...gesi ikifika dar kukatka kwa umeme itakua historia
 
Back
Top Bottom