Enzi za Mzee mwinyi na Uruksa wake

Enzi za Mzee mwinyi na Uruksa wake

Mbombo Nunu

Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
92
Reaction score
124
331630025507eedca47f56da08057a14.jpeg
b7a8ea782c616747199ad018b91d85d8.jpeg
01f5f8f707ee48ed4540b9419203f69f.jpeg
8e33cbba94e0ee0628d9a99bf4214d09.jpeg
 
Aisee, sisi tumechelewa sana wenzetu waganda wana 50,000/-, nzuri sana kwa kuhongea, unapiga noti mbili una maliza kazi haupati maumivu ya kuhesabu noti 10 za 10,000/-
 
Ni historia yetu. Inatuonyesha tumetoka wapi. Tuienzi!
 
mi nimeikuta mia 200 na mia 500 ndo zinaishia ishia dah!!
 
Wapi buku mbili ya enzi za ruksa, Hata kunywea nyagi ilikuwa inatosha, na chenji inarudi. Leo hii toa buku mbili uone kama mada yako haijaamishiwa FORUM la kujichua
 
Kulikuwa nasbabu gani mzee mkapa kubadili noti nakutoa picha ya mzee mwinyi?nauliza tu
 
Back
Top Bottom