Enzi za mwalimu!

Enzi za Mwalimu, baada ya vita vya nduli, tulipiga punyeto kwa kutumia sabuni ya mbuni au ulimi wa ng'ombe (zilikuwa zinachubuwa kichizi)
 
Enzi za Mwalimu, maduka pekee ya kuuza viatu yalikuwa maduka ya 'Bora shoes', siku hizi mmh....
 
enzi za mwalimu bendera ikiwa inashushwa saa kumi nambili filimbi ikilia tu watu wote mnasimama siku izi sijui imeishia wapi
Na wimbo wa Taifa ukipigwa mnasimama na kuimba kwa heshima, siku hizi ndio ni wimbo wa matangazo ya biashara shittttttttttt!!!!!!!!
 
Na wimbo wa Taifa ukipigwa mnasimama na kuimba kwa heshima, siku hizi ndio ni wimbo wa matangazo ya biashara shittttttttttt!!!!!!!!
umelenga kwenyewe yaani tiiih
 

Thio uzoefu miye nlikua napita 2 kwenda pale sheli kununua luku kwnye mida ya saa 7 usiku! si ndio nikaona, nikajaribu, nikaweza na ninazidi kusonga mbele ..........
 
Thio uzoefu miye nlikua napita 2 kwenda pale sheli kununua luku kwnye mida ya saa 7 usiku! si ndio nikaona, nikajaribu, nikaweza na ninazidi kusonga mbele ..........
umethubutu na umeweza.
 
Back
Top Bottom