Pia kalamu, rula na madaftari 12 tulikuwa tunagawiwa shule siku mnapofungua shule pamoja na mikebe.enzi za mwalimu
wananchi tulikuwa 15m tulisoma kutibiwa bureee na kupewa chakula hasa nyakati za matatizo kama ya njaa bureeee na serikali ilikuwa haina hata muwekezaji mmoja.