View attachment 188914 baadhi yao ndo mamiss wa JF Leo hii
Hiyo ni Jumamosi marudio ya michezo ya magaizo....
Tausi ndege wangu , ndege wangu wa fahari hivi mjuba yupo nimesaga sana miguu kwenda mtaa wa saba kuangalia hii kitu aisee
Kipindi hicho ITV ndio television ya taifa
Ni kweli, nawaona mutisya mutambu, lyinga, Victoire, miss neddy
na huyo wa nne sijui atakuwa nani, ngoja nikumbuke vizuri...
ladyfurahia hakosekani hapo.Ni kweli, nawaona mutisya mutambu, lyinga, Victoire, miss neddy
na huyo wa nne sijui atakuwa nani, ngoja nikumbuke vizuri...
ladyfurahia hakosekani hapo.
Daaaah maisha yalikuwa raha. Mwenye video kwao kwenye mechi lzm apangwe hata kama mpira hajui.