Enzi hizo....!

Enzi hizo....!

Safety last

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
4,242
Reaction score
1,429
Enzi hizo Rais akiwa anafanya ziara watu tulikuwa tunakusanyika barabarani tunampungia mkono.siku hizi wapi bana nani anamuda na misafa ya viongozi.Enzi hizo shule asubuhi tunakimbia mchakamchaka na kuimba nyimbo za uzalendo kwa taifa,siku hizi hakuna tena watoto hawana pumzi ,enzi hizo simba na Yanga wakicheza lazima uende uwanjani au ukeshe na Raidio Huku Halima mchuka akitangaza, siku hizi ni ulaya tu. Unazikumbuka enzi zozote ...!
 
Enzi hizo kuna sinema ni wakati wa mbio za mwenge😛icha siasa ni kilimo,ufugaji bora na kilomo cha kisasa ndo zilikuwa movie zake
 
Enzi sinema kila tarehe 15 ya mwezi mnaenda uwanjani kuangalia movie siku hizi kila mtu ana DvD!
 
Back
Top Bottom