Hii picha imenikumbusha mbali.yan umeenda kijijin kwenu,watoto wa dadako,kaka au shemeji unawapga picha then unakuja kubwaga apa.wangekuwa na access ya kuona hii,usingerud kwenu
haha, kigauni cha huyo dada kimeshonwa na mkono kutoka vitambaa mbalimbali za nguo zilizochanika, kudadadeki, hapo kuoga labda unyeshewe mvua kwa bahati mbaya, ndio, unabahatika kutia maji mwilini, teh teh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.