ilikuwa ukimwagiwa maji kichwani unapagusa kauso na mkono huku unapuliza maji ili upumue kwa amani kidogo.,, mie nlikuwa nkiogeshwa mikono naziba kwenye ofisi... Kimbembe ilikuwa kuchanwa nywele babuu kipilipili si mchezo..,
ikitokeo uneoga mwenyewe ukaguzi unasuguliwa mgongoni,tumboni, miguuni lazma kuna sehemu maji yasifike