Enzi hizo: Kitabu cha kusoma kwa hatua

Enzi hizo: Kitabu cha kusoma kwa hatua

Inside10

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
33,783
Reaction score
40,558
1383128117251.jpg
 
Kitambo kilichoniweza kujua kusoma kwa haraka enzi miaka ya 90. Mulugo itabidi avirudishe vitabu vya namna hii
 
WazeiYa mmenikumbusha mbali saaaaana, mnakumbuka manenge na mandawa?
 
1.ahadi za mwanatanu
2.kibanga ampiga mkoloni
3.siku ya gulio katelelo
4.heri mimi sijasema
5.kambi ya kaboya.
vingine mtaongezea wakuu.
 
1.ahadi za mwanatanu
2.kibanga ampiga mkoloni
3.siku ya gulio katelelo
4.heri mimi sijasema
5.kambi ya kaboya.
vingine mtaongezea wakuu.

Sijui kama wengine walikiona hiki kiitwacho " Madenge na Mandawa"
 
Mkuu ,asante kwa hizo classics. Hebu tulia picha ya manenge na mandawa.
 
Mwenzenu nilisubiri saaaana kuonana na Roza nimtokee.. nilipoona simpati nikajipa matumaini labda ntampata Neema wa kwenye Mr. and Mrs. Daudi. naye hadi leo kimya..
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Nakitafuta kitabu cha Juma na Roza.

Wapi kinapatikana wakuu?
 
Mwenzenu nilisubiri saaaana kuonana na Roza nimtokee.. nilipoona simpati nikajipa matumaini labda ntampata Neema wa kwenye Mr. and Mrs. Daudi. naye hadi leo kimya..

hahaaaa! mkuu naona dogo Baraka atakuwa na phd kwa sasa, maana ni kitambo sana!
 
Siku hizi mashuleni wanatumia vitabu vya udaku tu.
 
Back
Top Bottom