ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Pengine usipokuwa makini huwezi kujua iwapo ninyi wawili (Mke na Mume) ni mwili mmoja.
Mke ana kazi nzuri na mume nae mungu kamjali. wote mna msahhara ambao unalingana kama si kukaribia. (Asante Mungu), mwisho wa mwezi umefika, japo mlipanga mwanzoni mwa mwezi mambo ya kufanya, mwenzio anakueleza kuwa yeye mshahara wake tayari ana deni kwa fundi nguo (ni sare ya harusi ya mdogo wa rafiki yake), anadaiwa saloon, anadaiwa michango ya send off ya rafiki yake (hiyo huwezi kumlipia, hamkupanga) na amemtumia mama nyumbani kiasi na amepanga kutoa sadaka Fungu la Kumi. Umekwishaaa....
Unastuka, "ehee vipi mbona hatuambizani kabla?"
Anakujibu: "lakini kama mimi singekuwa na kazi usingenilisha, usingenivisha, usingeninywesha??..we kiacha wenzio watanigharimia!!!"
mh. unatafakari , mwezi uliopita mliingia kwenye malumbano, mlileta msichana wa kazi wa kwanza akasema amfai, anajeuri,anamjibu hovyo, akamleta mwingine, akaka siku mbili akasema sio msafi, mwingine alikaa wiki anasema hajui kusoma atawaharibu watoto, akaleta mwingine "Mzimbabwe" ambae mshahara wake ni mkubwa sana lakini hakuhusisha mpaka wakati wa kumlipa.
Anakuambia: " Leo Dada anadai mshahara wake..,
Ulipouliza: " kwani ngapi??",
Anajibu " Huyu ni laki na nusu tu ni Mzimbabwe na mchapakazi mzuri, nimempenda"..
Unashtuka ..."mh. mbona wapo wengi wa hamsini kwa nini hivyo?"
Anajibu: "hao wa hamsini ndio wakorofi!!, mimi siwezi labda ukae nao wewe"
Tunalipaje?? imekula kwako hiyo...
Pango la Nyumba Tshs. 250,000 (kwa mwezi)
Umeme 50,000 (kwa mwezi)
Mafuta ya gari 20,000 (kwa siku)
Hela ya chakula 20,000 ( kwa siku)
Bili ya Maji 30,000 (kwa mwezi)
Gesi 58,000 (mtungi kwa mwezi)
Bado hujala ofisini, hujanywa, hujatoa michango kwenye shughuli za kijamii nk. ONgeza na 150, 000 ya binti wa kazi za ndani!!! Kudadadeki! + Ada ya watoto wawili 880, 0000 (kwa term).
Toa kwenye Mshahara wako ambao hauzidi Tshs. 700,000 kwa mwezi (take home).Jumlisha majukumu ya familia ya pande zote mbili (yako na Mkeo) + Vidonga vya tumbo + ka Presha kwa mbali!!
Ikifikia hapo tambua Wewe Mume ni kichwa cha nyumba, ishi na Mkeo kwa Akili. Msigombane, mpatane, chukua nafasi yako, timiza wajibu wako, acha maisha yaende mbele...ukipata wasaa mkanyane..
Mke ana kazi nzuri na mume nae mungu kamjali. wote mna msahhara ambao unalingana kama si kukaribia. (Asante Mungu), mwisho wa mwezi umefika, japo mlipanga mwanzoni mwa mwezi mambo ya kufanya, mwenzio anakueleza kuwa yeye mshahara wake tayari ana deni kwa fundi nguo (ni sare ya harusi ya mdogo wa rafiki yake), anadaiwa saloon, anadaiwa michango ya send off ya rafiki yake (hiyo huwezi kumlipia, hamkupanga) na amemtumia mama nyumbani kiasi na amepanga kutoa sadaka Fungu la Kumi. Umekwishaaa....
Unastuka, "ehee vipi mbona hatuambizani kabla?"
Anakujibu: "lakini kama mimi singekuwa na kazi usingenilisha, usingenivisha, usingeninywesha??..we kiacha wenzio watanigharimia!!!"
mh. unatafakari , mwezi uliopita mliingia kwenye malumbano, mlileta msichana wa kazi wa kwanza akasema amfai, anajeuri,anamjibu hovyo, akamleta mwingine, akaka siku mbili akasema sio msafi, mwingine alikaa wiki anasema hajui kusoma atawaharibu watoto, akaleta mwingine "Mzimbabwe" ambae mshahara wake ni mkubwa sana lakini hakuhusisha mpaka wakati wa kumlipa.
Anakuambia: " Leo Dada anadai mshahara wake..,
Ulipouliza: " kwani ngapi??",
Anajibu " Huyu ni laki na nusu tu ni Mzimbabwe na mchapakazi mzuri, nimempenda"..
Unashtuka ..."mh. mbona wapo wengi wa hamsini kwa nini hivyo?"
Anajibu: "hao wa hamsini ndio wakorofi!!, mimi siwezi labda ukae nao wewe"
Tunalipaje?? imekula kwako hiyo...
Pango la Nyumba Tshs. 250,000 (kwa mwezi)
Umeme 50,000 (kwa mwezi)
Mafuta ya gari 20,000 (kwa siku)
Hela ya chakula 20,000 ( kwa siku)
Bili ya Maji 30,000 (kwa mwezi)
Gesi 58,000 (mtungi kwa mwezi)
Bado hujala ofisini, hujanywa, hujatoa michango kwenye shughuli za kijamii nk. ONgeza na 150, 000 ya binti wa kazi za ndani!!! Kudadadeki! + Ada ya watoto wawili 880, 0000 (kwa term).
Toa kwenye Mshahara wako ambao hauzidi Tshs. 700,000 kwa mwezi (take home).Jumlisha majukumu ya familia ya pande zote mbili (yako na Mkeo) + Vidonga vya tumbo + ka Presha kwa mbali!!
Ikifikia hapo tambua Wewe Mume ni kichwa cha nyumba, ishi na Mkeo kwa Akili. Msigombane, mpatane, chukua nafasi yako, timiza wajibu wako, acha maisha yaende mbele...ukipata wasaa mkanyane..