kwetumasoko
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 866
- 517
- Thread starter
- #21
Unajua baadhi wanapokuwa nje wanaficha makucha, lakini wakishaingia ndani, mziki unakuwa mnene!Ila dalili za watu hawa huwa tunaziona hata kabla ya ndoa ila tunajidanganya ni upepo ukishamuoa atabadilika.
Yani kitu kidogo anakifanya kesi kubwaaa...we have seen them na bado tukawaoa, tusishangae wakiendeleza libeneke ndani ya nyumba!