Enyi TWAWEZA hivi matukio ya hizi wiki mbili hayafai kufanyiwa tafiti ili mtusaidie Watanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,383
108,441
Nadhani kwa hizi Sinema zilizoanza wiki mbili hapa nchini Tanzania mpaka ile jana ipo haja kwa taasisi ya Utafiti inayoheshimika sana nchini Tanzania kwa sasa TWAWEZA kutufanyia Utafiti Watanzania ili tujue tulipo na tuendako kwani sisi Mangumbaru ( tusiokuwa na uelewa wowote ule ) kwa sasa hatujui nini kinaendelea na cha kufanya pia.

Mtusaidie jamani TWAWEZA na nawaaminia kama siyo kuwakubali mno.

Nawasilisha.
 
Nao watajuaje....ni ngumu kujua mapenzi ya wapendanao yananguvu gani na yatafika wapi
 
unataka tutumbuliwee ujaona yaliyomkutaa mwenzetu nape [HASHTAG]#twaweza[/HASHTAG]
 
Unadhani wao hawaogopi??? Hapa tulipofikia ni kumtafuta mganga wa Bashite tu aliyeko south, tukimdhibite yule Bashite atakosa Libwata na hatimaye msukuma atakuwa huru.
 
Aisee kweli mkuu watusaidie kufanya utafiti wa kujua uhalali wa vyeti vya sizonje na bashite
 
Back
Top Bottom