nenda kaoe ulikozaliwa, tafuta hata biinti wa jirani atakufaa. ila jinsi unavotafuta sijui barabarani mara kwenye daldala utapata tabu sanaHabari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
...walioko ndan yenyew wanataka kutoka
30 yrsUna umri gani?
Nazingua nini mkuuKitego unazingua
Ukishindwa yote washirikishe wazazi, nao hua wanakua na mchango mkubwa sana
Yann kutembea wakati humu jf wapo kibao wanajitangaza wanatafuta waume/ husband materio
Mkuu nakushauri uende KANISA LA UFUFUO NA UZIMA PALE KUNA WATOTO KONKIHabari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Fanya hivyo mkuu,Sawa mkuu itabidi nilipitishe hilo wazo
Una pesa kweli wewe....? Tongoza acha uoga, kikubwa jichanganye na watu hasa kanisani, msikitini kazini, rafiki za marafiki zako wa kike au rafiki kabisa hawa ndiyo wake wazuri kabisa.Habari wakuu.
Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua nazurula sana maeneo mbalimbali nikiamini nitakutana na anayenifaa, hii hali imenifanya hata nikiwa nyumba ya ibada nisiwe makini na ibada bali nakagua mke, hata nikiwa kwenye daladala yaani akipanda Dada nakuwa makini sana nikiamini labda ndo huyu..!
MSAADA WENU TAFADHARI...
Hujawahi kumiliki mademu hata watatu hiviNazingua nini mkuu
Mbabu naona umepata nguvu baada ya kufturu[emoji23][emoji23]Kama wewe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mbabu naona umepata nguvu baada ya kufturu[emoji23][emoji23]
Mkuu nakushauri uende KANISA LA UFUFUO NA UZIMA PALE KUNA WATOTO KONKI
Hujawahi kumiliki mademu hata watatu hivi