Enock Maganga of BoT is no more

Enock Maganga of BoT is no more

Ndugu CTU,

Nikisema, kwa mfano, "mvua samaki aliyekuwa anamiliki sekondari ya Pwani Academy amefariki dunia" hutajiuliza maswali yoyote kuhusu career life ya huyu mvua samaki?

Unajua mfano wako ni irrelevant
Niulize kwanini? enock maganga alikuwa ni mwajiriwa wa serikali, sekta nyeti ndani ya b.o.t mshahara wake sio wa kitoto.. hajaanza leo kaanza siku
nyingi ana securities za kutosha yet mpaka kuwa bot lazima ana elimu na ujuzi wa jinsi ya kuinvest hata kama yeye hajui kuna watu wake wa karibu....

So mtu kama huyo ni hata akiwa na property kama hiyo mie sitashangaa

Mvuvi kwanza nitashtuka lakini sio jambo la ajabu nalo kwani kina matajiri wengi niwajuao walianza chini sana kuanza na kina bakhresa, diallo na wengine
 
Hey dears,the thread bfr us is magangas death,so no need of such dobical conversation upon u two.hap nw yr
 
sikulaumu maybe ni zile shule zenunza vidumu na ufagio mkubwa wa chelewa kama mnaenda kuua nyoka huku shingoni mna cheni kubwa kama wavaazo vijana wa kileo wa muziki wa magharibi ila nyie tofauti yenu na wao wao aanavaa cheni ila nyie zinakuwa soo cheni bali ni visoda

Remember your roots..
 
Pole kwa wafiwa wote, na wafanyakazi wa BoT.

Mtu kuwa mfanyakazi na mfanyabiashara sio tatizo kama anafuata taratibu zilizowekwa na hafuji mali ya wananchi.
Ni kosa kuamini kwamba mfanyakazi hawezi kuwa mjasiriamali.

Tatizo linakuja pale ambapo wanasiasa/viongozi wetu walio wengi wametumia nafasi zao vibaya za madaraka/ nafasi zao za kazi kujinufaisha kinyume cha sheria kwa kisingizio cha biashara na kufanya jamii kuona wafanyakazi wote matajiri ni mafisadi.

Kwangu nimesoma shule gani huwa sio tija sana, nnapambanaje na changamoto za maisha ndio kitu cha muhimu. A za darasani sio lazima zijekua A za kwenye maisha halisi. Ukijipanga vizuri unaweza fanya kazi yako na ukafanya biashara zako vizuri tu bila kujali umeenda shule ya visoda au ya school bus.

Niwatakie mwaka wa heri 2013
 
huyu mzee na wengine wengi aliibuka pale BOT ilipoanza kununua gold direct toka kwa wananchi,hii process ilikuwa na loopholes nyingi
 
Mkuu kama unamkashifu/kumkanya/kum-criticize mtu usitoe maneno ya jumla jumla. Hizo shule za kubeba vidumu na ufagio wengi wetu ndizo tumesomea na haina maana hatuko sawa upstairs. Na naamini hata wazazi wako kama walizaliwa 50's, 60's, 70's wamesoma hizo shule.........na bila shaka ndizo walisoma Wanazuoni wengi wakongwe nchi hii kama sio E.A pia walizosoma.

Kwenda shule "International school' or "Academy" haihitimishi kwamba utakuwa vizuri upstairs!

Happy new Year.


Doooh mtoto kantibua nyongo sana huyu...........namtafutia tusi si mpati,ila wacha niache,maana ntajishusha hadhi kama yeye
 
Back
Top Bottom