English tatizo 4m 4

English tatizo 4m 4

Smokey D

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
2,632
Reaction score
2,114
Hii ni english ya mwanafunzi bora wa form 4 kutoka shule mojawapo za kata TZ akimwambia mzungu ugumu wa kupanda mlima k/njaro sababu njia haijanyoka moja kwa moja:
SIR, TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT A PRESIDENT JOB BECOZ THE WAY IS NOT SNAKE ONE BY ONE. Tanzania inakwenda wapi??
 
Kwani kukifahamu kiingereza ni maendeleo?
 
Hii ni english ya mwanafunzi bora wa form 4 kutoka shule mojawapo za kata TZ akimwambia mzungu ugumu wa kupanda mlima k/njaro sababu njia haijanyoka moja kwa moja:
SIR, TO PLANT MOUNT KILIMANJARO IS NOT A PRESIDENT JOB BECOZ THE WAY IS NOT SNAKE ONE BY ONE. Tanzania inakwenda wapi??

Good amepatia !!!!
 
Back
Top Bottom