English learning for all beginners

The different between these words:The, a,and an.
They are called articles.....

AN is used before a word which starts with a vowel(a,e,i,o,u) example an egg.......

A is used before a word that starts with consonants example a cow, a boy.

We use THE before special things example The moon, The sun, The U. K etc
 
They are called articles.....

AN is used before a word which starts with a vowel(a,e,i,o,u) example an egg.......

A is used before a word that starts with consonants example a cow, a boy.

We use THE before special things example The moon, The sun, The U. K etc
Correction ...not just a,e,I,o,u but also words like hour etc.
They have to start their threads
 
Let's increase the rate of participating on this thread so as to gain the skills of writing and speaking more quickly.
 
No kwanini baadhi ya maneno huwa yanaongezewa "s" wakati mzizi Wa neno hauna "s"
mf. Wash,read,clean
Kwenye sentence zinaongezewa s

mf. 1:Jamila cleans the bathroom today.

MF 2:Anna washes a pot
MF 3:Juma reads a book
 
What is keen

Post yangu ya kwanza hapa...

Kwa mimi ninavyoelewa, maana ya "keen" ni hii:

Tumia hilo neno "keen" kuonyesha kwamba mtu ana hamu ya kufanya kitu fulani. Mfano wako "She is keen on reading" sio tofauti sana na "She likes to read". Vile vile, "She is not keen on reading" ni jinsi ya upole kusema kwamba hapendi kusoma.

"Keen" ina maana nyingi, lakini. Inaweza kumaanisha akili nzuri ya mtu. Mfano: "He has a keen intellect", ina maana ana akili nzuri.

Mfano wa matumizi mengine: "He has keen eyesight", ina maana kwamba ana uwezo mzuri wa kuona kwa macho.

Nipe maswali mengine, ukiwa nayo.
 
No kwanini baadhi ya maneno huwa yanaongezewa "s" wakati mzizi Wa neno hauna "s"
mf. Wash,read,clean
Kwenye sentence zinaongezewa s

mf. 1:Jamila cleans the bathroom today.

MF 2:Anna washes a pot
MF 3:Juma reads a book
The hammer iyo ni simple present tense matendo anayofanya mtu kila siku mara nyingi huongezwa s mwishoni
 
The hammer iyo ni simple present tense matendo anayofanya mtu kila siku mara nyingi huongezwa s mwishoni
Napo unaangalia xio kila sehem unawek s No! Kwenye he,she, it tu ndo unawek s I,we, they unaach kama zilivyo
 
Napo uwe unafata tense sio kila sehem tense ni muhimu! Hapo kuna simple present tense ambayo i can learn english pia kuna simple continuoux tense ambayo i can learning englixh.
 
Orginally chagua moja ukitumia to usiweke -ing mbele sema tu i can learn englixh! Ukiiacha to ndipo utawek iyo ing itakuw i can learning englixh. To learn(learning)to write(writting)
To inabebwa na ing
 
Back
Top Bottom