Huyu Bwana Yuko Sahihi
Huyu Bwana alitaka kuwa na ofisi mbili, moja gorofa ya chini na nyingine gorofa ya kwanza, akamwabia designer wake unjaua hili jengo ni refu sana na ofisi zangu ziko karibu sana ila ngazi za ndani ziko mbali kule mwisho wa jengo na nitakuwa napoteza muda mwingi sana wa kutembea ninapotaka kutoka ofisi hii ya chini kwenda ya juu au kutoka ofisi ya juu kuja ya chini, nakuomba unifanyie utaratibu uniwekee ngazi ya nje ili niweze kutoka ofisi moja kwenda nyingine kwa muda mfupi, designer kamwekea ngazi fundi kaijenga. Baadaye likaja wazo la kuhamisha ofisi ya ground floor ihamie second floor, wazo lile lile la ninapokuwa ofisi moja nataka kwenda ofisi nyingine nitue muda mfupi likawa impemented and it is working. Wakaona hamna haja ya kuboboa gazi za kwaza kwa sababu hazimzuii yeye anapokuwa ofisini kuaccess ofisi nyingine kwa kutumia muda mfupi
Wakati mwingine tunaona fulani amekosea kumbe ni sisi hatujue lengo lake nini.
Don't look at it from engineering/architectural point of view