ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Nimechukizwa na Kitendo cha Eng Hersi Said kutangaza kuchangia milion 100 CCM bila rushwa yetu Wanachama
Yanga ni timu ya Wanachama
Hiyo milion 100 ilipitishwa na mkutano Gani ikachangie kampeni za CCM
Eng Hersi Said umetugawa sisi Wanachama wa Yanga ambao sio Wanachama wa CCM,
Au unataka kutwambia kuwa Yanga ni timu ya CCM
Nakusihi Kwa upumbavu uliofanya Leo utoke hadharani tuombe radhi, sisi Wanachama
Eng Hersi Said kama upo Yanga ili kuingiza agenda za CCM utoke tu.
Sisi tuko tayari hata kukosa makombe na kufungiwa kabisa ila sio kutoa ada zetu za uanachama na kupeleka CCM
Yanga ni timu ya Wanachama
Hiyo milion 100 ilipitishwa na mkutano Gani ikachangie kampeni za CCM
Eng Hersi Said umetugawa sisi Wanachama wa Yanga ambao sio Wanachama wa CCM,
Au unataka kutwambia kuwa Yanga ni timu ya CCM
Nakusihi Kwa upumbavu uliofanya Leo utoke hadharani tuombe radhi, sisi Wanachama
Eng Hersi Said kama upo Yanga ili kuingiza agenda za CCM utoke tu.
Sisi tuko tayari hata kukosa makombe na kufungiwa kabisa ila sio kutoa ada zetu za uanachama na kupeleka CCM