GE2025 Eng Hersi Said aachwa ubunge Kigamboni Shafii Dauda apeta Temeke

GE2025 Eng Hersi Said aachwa ubunge Kigamboni Shafii Dauda apeta Temeke

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni,
Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke
Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
 
Shafii Dauda amepenya kwa mujibu wa taariza za mitandaoni. Najiuliza jamaa ndio kwamba anakubalika sana kumzidi Hersi?

1753787710951.png
 
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni,
Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke
Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
Vipi Luca Neghesti mtoto wa kizungu, amepitishwa huko?
 
Kamati kuu umegoma kulipitisha jina la Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa Eng Hersi Said kugombea kupitia CCM Jimbo la Kigamboni,
Shafii Dauda akipita huko Jimbo la Temeke
Sasa rasmi Rais wa Yanga Eng Hersi Said atajikita zaidi kwenye football
Sio yeye tu hajateuliwa,wengine ni hawa:
1.mangungu
2.arafat hajj
ni wazi ccm imeona iwaache watu wa mpira waendelee kuendeleza mpira
 
Mkuu sema neno kuhusu shemeji yetu wa Arusha mh. Gambo
Toka jana nina furaha isiyomithirika kaka na ni jana imenibidi nimpigie bwana makonda kumpa hongera ashinde asishinde ila furaha yangu ni asili kuturudishia mtu wetu .

Napigiwa simu leo na bro ananiambia mama yake na hako kajamaa kampigia analia anasema kwanini watu hawampendi mwanaye nikamuuliza umemjibuje anasema kamwambia ni fitina nikamkatia simu maana ilibidi amchane ujinga wa mwanaye tu .

Ijapokuwa nina furaha sana kwa hilo ila nina tanziko la nafsi na moyo na wasiwasi mkubwa baada ya kipara kukatwa nimejifikilia mara mbili naona giza mbele natamani nimpigie mzee marope kumuuliza kunani ila naogopa nitaanzaje yaani tafrani akili na moyo havina ushirikiano .

Ila yote kwa yote sasa hivi Arusha nitaingia kama mzawa simuogopi yeyote wala sicheki na wowote katuni mkuu kadondoshwa tayari
 
Toka jana nina furaha isiyomithirika kaka na ni jana imenibidi nimpigie bwana makonda kumpa hongera ashinde asishinde ila furaha yangu ni asili kuturudishia mtu wetu .

Napigiwa simu leo na bro ananiambia mama yake na hako kajamaa kampigia analia anasema kwanini watu hawampendi mwanaye nikamuuliza umemjibuje anasema kamwambia ni fitina nikamkatia simu maana ilibidi amchane ujinga wa mwanaye tu .

Ijapokuwa nina furaha sana kwa hilo ila nina tanziko la nafsi na moyo na wasiwasi mkubwa baada ya kipara kukatwa nimejifikilia mara mbili naona giza mbele natamani nimpigie mzee marope kumuuliza kunani ila naogopa nitaanzaje yaani tafrani akili na moyo havina ushirikiano .

Ila yote kwa yote sasa hivi Arusha nitaingia kama mzawa simuogopi yeyote wala sicheki na wowote katuni mkuu kadondoshwa tayari
Ulisemaga jamaa akidondoka utasema jambo tudokezee japo kidogo nipate picha maana ka jamaa kalikua kanaogopeka na kametesa wengii
 
Ulisemaga jamaa akidondoka utasema jambo tudokezee japo kidogo nipate picha maana ka jamaa kalikua kanaogopeka na kametesa wengii
Kaka unataka kanikwapue juu juu kama leo walivyotaka kumdondosha ndugu Antipas ?
Ngoja kapoe kwanza ndiyo nije na full story ya haka katoto ka Mbweni kalikojaa kwenye mikono ya mafia wa mjini.
 
Back
Top Bottom