Eneo la bahari la Tanganyika(Tanzania bara) ni lipi?

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,890
Sheria za kimataifa zinasema umbali wa maili 200(320km) kutoka ufukweni mwako ni eneo lako la bahari.

Sasa kwa Tanganyika ambayo ukitoka tu kidogo unakuta visiwa vya Zanzibar eneo lake la bahari limekaaje?

Maana nasikia mafuta na gesi siyo ishu ya muungano, je tukitaka kutafiti baharini eneo letu ni lipi?

Pia kwenye mpaka wetu na Kenya na Msumbiji eneo likoje? Linaendeleza mstari wa mpaka au ni horizontal line kwenda baharini?

Wakenya na wasomali wako mahakamani kuhusu hii ishu.

Image result for tanzania map
 
Sheria za kimataifa (International law of the Sea) zinaitambua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo huo mpaka wa maili 200 (kama eneo bahari la JMT) unahesabiwa kuanzia mbele ya fukwe za viziwa vya Unguja na Pemba.

Eneo bahari la katikati ya Tanzania bara na visiwa vya Zanzibar linaitwa ''internal waters'' yaani maji-bahari ya ndani ya JMT (hapa tofautisha na ''inland waters'' ambayo ni maji yaliyo ndani ya ardhi ya JMT yajumuishayo mito, maziwa n.k).

Sheria hizo (za kimataifa) sidhani kama zinazungumza sana juu ya mgawanyo wa ''internal waters'' kama nilivyoeleza hapo juu, lakini endapo kutatakiwa kuwa na mgawanyo huo, basi itachukuliwa midpoint (mnagawana nusu kwa nusu kutoka katikati yenu) kama ilivyo kwa mgawanyo wa maji na rasilimali katika maziwa (lakes) yaliyo mipakani.

Uwepo wa Zanzibar ni faida kwa Tanganyika kama mbia ya JMT kuwa na eneo bahari kubwa. Kwa maoni na maono yangu, naona ingekua ni busara zaidi kama mafuta na gesi lingekua ni suala/jambo la muungano ili lisitugombanishe kesho na keshokutwa.

Kuhusu hilo suala la Kenya na Msumbiji, sijafuatailia hiyo kesi inahusu nini haswa, ila kiutaratibu ni kwamba eneo bahari linafuata mstari wa mpaka ulivyokwenda (200 maili toka ufukweni) na sio kuchorwa ''an imaginary straight line'' huko baharini.

Ahsante niishie hapa tuwape nafasi na wachangiaji wengine.
 

SULTANATE OF ZANZIBAR (1856–1964)
MARCH 27, 2016 CONTRIBUTED BY: AYMAN TAREK ELKHOLY
Zanzibar first became a sultanate in 1840 when the ruler of Oman, Said bin Sultan, moved his capital from Muscat, Oman, to Stone Town, Zanzibar, after defeating the Portuguese in Mombasa, Kenya. Said recognized the island’s suitability for clove growth and encouraged the development of clove plantations using the island’s slave labor. Zanzibar was separated from Oman after Said’s death in 1856 when his son Majid bin Said became the first sultan of Zanzibar. Although Majid consolidated his power around local slave trade, his successor Barghash bin Said helped abolish slave trade and largely developed the country’s infrastructure. This was done through a treaty with the British in 1873 that aimed to replace slave revenue with legitimate economic activities such as trade of rubber and ivory.

However, in 1885, Barghash began to lose control over trading routes when the Society for German Colonization forced local chiefs to agree to German protection. In 1886 the British and Germans colluded to gain control over Zanzibar’s trading routes and agreed on dividing the territories. Both countries leased coastal territory from Zanzibar and established trading stations and outposts which they used in the following years to take over mainland possessions that eventually became solely administered by European imperial powers.

In 1890 the United Kingdom and the German Empire signed the Helioglan-Zanzibar Treaty which established Zanzibar as a British protectorate; this lasted for several decades. During the period of this protectorate, the sultan’s authority was greatly reduced and the island’s slave trade curtailed. Although most sultans were generally aligned with the British, Khalid ibn Barghash was a notable exception. In 1896 when Khalid seized the throne instead of the British-supported candidate, Hamud ibn Mohammed, he was given a choice between relinquishing control of the nation and going to war with Great Britain. Khalid’s refusal to stand down initiated the Anglo-Zanzibar War which is considered the shortest war in history, having lasted less than an hour before his forces surrendered.

The British protectorate ended on 10 December 1963 through the Zanzibar Act of 1963 which made provision for full self-government in Zanzibar as an independent country within the Commonwealth. Upon the removal of the protectorate, Zanzibar became a constitutional monarchy under Sultan Jamshid bin Abdullah who was overthrown a month later by the Zanzibar Revolution. Shortly after, in April of 1964, the short-lived communist republic was united with Tanganyika to form modern-day Tanzania
Source : https://www.blackpast.org/global-african-history/sultanate-zanzibar-1856-1964/
 
Only solution kwa Zanzibar ni kuakalia kimabavu tu.Au kupandikiza population ya wabara huko.Situation yake ni complicated.I don’t trust them kama partner wa Muungano.
Hiyo mbinu ya kijinga WAZANZIBAR tunafahamiana washenzi wote waliovisiwani tunawajua hamna mbinu yoyote mtakayofanikiwa isipokua hii ya kuitawala ZANZIBAR Kwa mabavu kama mfupa ulimshinda Nyerere hakuna Mtanganyika atakae uweza FALA WEE!!
 
Sheria za kimataifa (International law of the Sea) zinaitambua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hivyo huo mpaka wa maili 200 (kama eneo bahari la JMT) unahesabiwa kuanzia mbele ya fukwe za viziwa vya Unguja na Pemba.

Eneo bahari la katikati ya Tanzania bara na visiwa vya Zanzibar linaitwa ''internal waters'' yaani maji-bahari ya ndani ya JMT (hapa tofautisha na ''inland waters'' ambayo ni maji yaliyo ndani ya ardhi ya JMT yajumuishayo mito, maziwa n.k).

Sheria hizo (za kimataifa) sidhani kama zinazungumza sana juu ya mgawanyo wa ''internal waters'' kama nilivyoeleza hapo juu, lakini endapo kutatakiwa kuwa na mgawanyo huo, basi itachukuliwa midpoint (mnagawana nusu kwa nusu kutoka katikati yenu) kama ilivyo kwa mgawanyo wa maji na rasilimali katika maziwa (lakes) yaliyo mipakani.

Uwepo wa Zanzibar ni faida kwa Tanganyika kama mbia ya JMT kuwa na eneo bahari kubwa. Kwa maoni na maono yangu, naona ingekua ni busara zaidi kama mafuta na gesi lingekua ni suala/jambo la muungano ili lisitugombanishe kesho na keshokutwa.

Kuhusu hilo suala la Kenya na Msumbiji, sijafuatailia hiyo kesi inahusu nini haswa, ila kiutaratibu ni kwamba eneo bahari linafuata mstari wa mpaka ulivyokwenda (200 maili toka ufukweni) na sio kuchorwa ''an imaginary straight line'' huko baharini.

Ahsante niishie hapa tuwape nafasi na wachangiaji wengine.
Mafuta na gas asilia havitokuja kuwa ni suala la Muungano muungano si chochote ila ni UKOLONI TUU WA MTU MWEUSI na huu ni mbaya zaidi usiombe kutawaliwa na mtu mweusi mwenye roho mbaya akili finyu waso busara ambao wakati wote wanaamini ktk mtutu wa bunduki ndio suluhisho la kila tatizo!!!!
 
Mafuta na gas asilia havitokuja kuwa ni suala la Muungano muungano si chochote ila ni UKOLONI TUU WA MTU MWEUSI na huu ni mbaya zaidi usiombe kutawaliwa na mtu mweusi mwenye roho mbaya akili finyu waso busara ambao wakati wote wanaamini ktk mtutu wa bunduki ndio suluhisho la kila tatizo!!!!
Nilijua tu kwenye huu uzi lazima uje kuchangia!
Tena nilidhani wewe ndiye mleta uzi.
 
Sheria za kimataifa zinasema umbali wa maili 200(320km) kutoka ufukweni mwako ni eneo lako la bahari. Sasa kwa Tanganyika ambayo ukitoka tu kidogo unakuta visiwa vya Zanzibar eneo lake la bahari limekaaje. Maana nasikia mafuta na gesi siyo ishu ya muungano, je tukitaka kutafiti baharini eneo letu ni lipi?pia kwenye mpaka wetu na Kenya na Msumbiji eneo likoje? linaendeleza mstari wa mpaka au ni horizontal line kwenda baharini? wakenya na wasomali wako mahakamani kuhusu hii ishu.

Image result for tanzania map
Mbona ramani hii ziwa nysa lote malawi? sijaipenda
 

SULTANATE OF ZANZIBAR (1856–1964)
MARCH 27, 2016 CONTRIBUTED BY: AYMAN TAREK ELKHOLY
Zanzibar first became a sultanate in 1840 when the ruler of Oman, Said bin Sultan, moved his capital from Muscat, Oman, to Stone Town, Zanzibar, after defeating the Portuguese in Mombasa, Kenya. Said recognized the island’s suitability for clove growth and encouraged the development of clove plantations using the island’s slave labor. Zanzibar was separated from Oman after Said’s death in 1856 when his son Majid bin Said became the first sultan of Zanzibar. Although Majid consolidated his power around local slave trade, his successor Barghash bin Said helped abolish slave trade and largely developed the country’s infrastructure. This was done through a treaty with the British in 1873 that aimed to replace slave revenue with legitimate economic activities such as trade of rubber and ivory.

However, in 1885, Barghash began to lose control over trading routes when the Society for German Colonization forced local chiefs to agree to German protection. In 1886 the British and Germans colluded to gain control over Zanzibar’s trading routes and agreed on dividing the territories. Both countries leased coastal territory from Zanzibar and established trading stations and outposts which they used in the following years to take over mainland possessions that eventually became solely administered by European imperial powers.

In 1890 the United Kingdom and the German Empire signed the Helioglan-Zanzibar Treaty which established Zanzibar as a British protectorate; this lasted for several decades. During the period of this protectorate, the sultan’s authority was greatly reduced and the island’s slave trade curtailed. Although most sultans were generally aligned with the British, Khalid ibn Barghash was a notable exception. In 1896 when Khalid seized the throne instead of the British-supported candidate, Hamud ibn Mohammed, he was given a choice between relinquishing control of the nation and going to war with Great Britain. Khalid’s refusal to stand down initiated the Anglo-Zanzibar War which is considered the shortest war in history, having lasted less than an hour before his forces surrendered.

The British protectorate ended on 10 December 1963 through the Zanzibar Act of 1963 which made provision for full self-government in Zanzibar as an independent country within the Commonwealth. Upon the removal of the protectorate, Zanzibar became a constitutional monarchy under Sultan Jamshid bin Abdullah who was overthrown a month later by the Zanzibar Revolution. Shortly after, in April of 1964, the short-lived communist republic was united with Tanganyika to form modern-day Tanzania
Source : https://www.blackpast.org/global-african-history/sultanate-zanzibar-1856-1964/
stop dwelling in the past, tukifuata hiyo mipaka ya falme za kale hakutakua na nchi afrika, je wajua kuwa deutsche ost afrika (tanganyika ya enzi za mjerumani) ilijumuisha burundi na rwanda? vipi twende tukazidai kuwa na maeneo yetu? utakua uendawazimu wa hali ya juu.
kwasasa zanzibar ni mkoa wa Tanzania, tuko kwenye njia kuelekea serikali moja.
 
Hiyo mbinu ya kijinga WAZANZIBAR tunafahamiana washenzi wote waliovisiwani tunawajua hamna mbinu yoyote mtakayofanikiwa isipokua hii ya kuitawala ZANZIBAR Kwa mabavu kama mfupa ulimshinda Nyerere hakuna Mtanganyika atakae uweza FALA WEE!!
acha matusi! ZANZIBAR NI KOLONI LA TANGANYIKA SISI TUNACHAGUA NANI AWE RAIS ,REFER ABDU JUMBE TULIMTOA MADARAKANI.

ZANZIBAR NI KOLONI ZURI SANA LA TANGANYIKA.

SAWA DUDE!!!😂😂😂😅😅😅😆😆😆
 
acha matusi! ZANZIBAR NI KOLONI LA TANGANYIKA SISI TUNACHAGUA NANI AWE RAIS ,REFER ABDU JUMBE TULIMTOA MADARAKANI.

ZANZIBAR NI KOLONI ZURI SANA LA TANGANYIKA.

SAWA DUDE!!!
Unajisifia kuwa mkoloni ktk karne hii ya UTU na USTAARABU??
Nikikwita MSHENZI useme Nimekutukana??
Wanyama ndio wenye sifa ya kuwatawala wengine kimabavu nyinyi NI WANYAMA??
 
Unajisifia kuwa mkoloni ktk karne hii ya UTU na USTAARABU??
Nikikwita MSHENZI useme Nimekutukana??
Wanyama ndio wenye sifa ya kuwatawala wengine kimabavu nyinyi NI WANYAMA??
Usiumize kichwa,watanganyika ustaarabu wamefundishwa na wazanzibar,wengi wao ni washenzi wa tabia.
 
Umeongelea sheria za kimataifa, na maili 200 ni umiliki wa Tanzania. Kimataifa hakuna Zanzibar wala Tanganyika. Umiliki wa maeneo ya mafuta kwa Zanzibar ni mambo ya wanasiasa na wanajua namba ya kuyatatua. Wachimbaji mafuta ni makampuni makubwa yanayojua sheria za kimataifa. Hakuna kampuni itakayo ingia mkataba na Zanzibar huku ikijua risk factors ahead .
 
Unajisifia kuwa mkoloni ktk karne hii ya UTU na USTAARABU??
Nikikwita MSHENZI useme Nimekutukana??
Wanyama ndio wenye sifa ya kuwatawala wengine kimabavu nyinyi NI WANYAMA??
NARDUDIA ZANZIBAR NI KOLONI ZURI LA TANGANYIKA.

TUTWATAWALA MPAKA MTIE ADABU.

TUTAENDELEA KUWAPANGIA MARAIS TUNAOWATAKA HUKU BARA.

"MUME " BARA NDIYE MWENYE MAAMUZI.

NA HATUWAPI UHURU KAMWE! Umesikia wewe sh.e.kh.e ubwabwa😂😂😃😃😆😆
 
Back
Top Bottom