Endapo Waziri Bashe utaenda Mvomero kukuagua mradi aliokuelekeza Katibu Mkuu CCM (wenye value ya 9M) utakuwa ubadhirifu wa Mali za Umma

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
876
4,101
Katibu Mkuu WA CCM ndugu Chongolo amemwagiza waziri wa Kilimo Mhe. Bashe kwenda Wilayani Mvomero kukagua na kuupatia ufumbuzi mradi wa umwagiliaji wenye thamani ya SHS milioni Tisa ambao umekwama kuendelea.

Kupitia maelekezo haya; Kwanza najiuliza Katibu Mkuu wa chama na Waziri Nani anamwagiza mwenzake? Kwanini masuala ya chama yasiwe na communication channeltofauti na mawasiliano ya serikali?

Unapomwagiza Waziri ndani ya siku tano awe sehemu flani je, Una uhakika gani kwamba ratiba yake IPO free?

Eneo la pili NI kwanini KM CCM asitoe maagizo Kwa viongozi wa wilaya na Mkoa? Au kama wameshindwa kwanini asingetamka wazi kwamba viongozi hao wameshindwa KAZI na hivyo akapendekeza mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wao? Je, kila atakapopita akakuta kasoro atawaagiza Mawaziri?

Mwisho NI gharama za mradi na gharama za waziri kwenda eneo alilioagizwa. Kutoka Dodoma Hadi Mvomero kwenda na kurudi waziri na timu yake awatumii zaidi ya milioni Tisa? Kwamba unatumia milioni Tisa kwenda kukwamua mradi wa milioni Tisa?

Viongozi wanasiasa wameisha ndani ya chama tawala nadhani; Tunahitaji kuwa na Katibu Mkuu anayefanya analysis kabla ya kutamka neno. Tunapaswa kuwa na Katibu Mkuu anayekubalika na mwenye uwezo wakiimarisha chama. Chongolo my brother you can do better, relax.
 
Katibu Mkuu WA CCM ndugu Chongolo amemwagiza waziri WA Kilimo Mhe. Bashe kwenda Wilayani Mvomero kukagua na kuupatia ufumbuzi mradi WA umwagiliaji wenye thamani ya SHS milioni Tisa ambao umekwama kuendelea.

Kupitia maelekezo haya; Kwanza najiuliza Katibu Mkuu WA chama na Waziri Nani anamwagiza mwenzake? Kwanini masuala ya chama yasiwe na communication channeltofauti na mawasiliano ya serikali? Unapomwagiza Waziri ndani ya siku tano awe sehemu flani je, Una uhakika gani kwamba ratiba yake IPO free?

Eneo la pili NI kwanini KM CCM asitoe maagizo Kwa viongozi WA wilaya na Mkoa? Au kama wameshindwa kwanini asingetamka wazi kwamba viongozi hao wameshindwa KAZI na hivyo akapendekeza mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wao? Je, kila atakapopita akakuta kasoro atawaagiza Mawaziri?

Mwisho NI gharama za mradi na gharama za waziri kwenda eneo alilioagizwa. Kutoka Dodoma Hadi Mvomero kwenda na kurudi waziri na timu yake awatumii zaidi ya milioni Tisa? Kwamba unatumia milioni Tisa kwenda kukwamua mradi wa milioni Tisa?

Viongozi wanasiasa wameisha ndani ya chama tawala nadhani; Tunahitaji kuwa na Katibu Mkuu anayefanya analysis kabla ya kutamka neno. Tunapaswa kuwa na Katibu Mkuu anayekubalika na mwenye uwezo wakiimarisha chama. Chongolo my brother you can do better, relax
Maskini hujui kama hujui! SG wa CCM ni sawa na CS serikalini. Ngazi yake ni mawaziri au mkuu wa Mkoa. Anamkunja Waziri
 
Mwisho NI gharama za mradi na gharama za waziri kwenda eneo alilioagizwa. Kutoka Dodoma Hadi Mvomero kwenda na kurudi waziri na timu yake awatumii zaidi ya milioni Tisa? Kwamba unatumia milioni Tisa kwenda kukwamua mradi wa milioni Tisa?
Bro wacha upumbavu aisee! Kwa nini mnaandika utopolo aisee? Nani amekwambia huo mradi una milioni 9? Unajua gharama za facilities za umwagiliaji wewe? Una shida mgichwa wewe maana mradi unaozungumzwa kukwama una thamani ya milioni 900.7 sasa kwa nini waziri asiende kuukwamua?
 
Tatizo la Tanzania ni Chama kuwa Serikali.

Nchi zingine huwezi kuta chama kinaivimbia Serikali mf Kenya
 
Katibu Mkuu WA CCM ndugu Chongolo amemwagiza waziri WA Kilimo Mhe. Bashe kwenda Wilayani Mvomero kukagua na kuupatia ufumbuzi mradi WA umwagiliaji wenye thamani ya SHS milioni Tisa ambao umekwama kuendelea.

Kupitia maelekezo haya; Kwanza najiuliza Katibu Mkuu WA chama na Waziri Nani anamwagiza mwenzake? Kwanini masuala ya chama yasiwe na communication channeltofauti na mawasiliano ya serikali? Unapomwagiza Waziri ndani ya siku tano awe sehemu flani je, Una uhakika gani kwamba ratiba yake IPO free?

Eneo la pili NI kwanini KM CCM asitoe maagizo Kwa viongozi WA wilaya na Mkoa? Au kama wameshindwa kwanini asingetamka wazi kwamba viongozi hao wameshindwa KAZI na hivyo akapendekeza mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wao? Je, kila atakapopita akakuta kasoro atawaagiza Mawaziri?

Mwisho NI gharama za mradi na gharama za waziri kwenda eneo alilioagizwa. Kutoka Dodoma Hadi Mvomero kwenda na kurudi waziri na timu yake awatumii zaidi ya milioni Tisa? Kwamba unatumia milioni Tisa kwenda kukwamua mradi wa milioni Tisa?

Viongozi wanasiasa wameisha ndani ya chama tawala nadhani; Tunahitaji kuwa na Katibu Mkuu anayefanya analysis kabla ya kutamka neno. Tunapaswa kuwa na Katibu Mkuu anayekubalika na mwenye uwezo wakiimarisha chama. Chongolo my brother you can do better, relax
Sizani kama uwo mradi ni wa million 9 ebu rudia tena kusoma au kusikiliza vizuri, ukute ni 900milion...Kingine katibu mkuu wa chama anayo iyo hadhi ya kumwagiza waziri kutekeleza maazimio ya serikali iliyopo chini ya chama chake.
 
Katibu Mkuu WA CCM ndugu Chongolo amemwagiza waziri WA Kilimo Mhe. Bashe kwenda Wilayani Mvomero kukagua na kuupatia ufumbuzi mradi WA umwagiliaji wenye thamani ya SHS milioni Tisa ambao umekwama kuendelea.

Kupitia maelekezo haya; Kwanza najiuliza Katibu Mkuu WA chama na Waziri Nani anamwagiza mwenzake? Kwanini masuala ya chama yasiwe na communication channeltofauti na mawasiliano ya serikali? Unapomwagiza Waziri ndani ya siku tano awe sehemu flani je, Una uhakika gani kwamba ratiba yake IPO free?

Eneo la pili NI kwanini KM CCM asitoe maagizo Kwa viongozi WA wilaya na Mkoa? Au kama wameshindwa kwanini asingetamka wazi kwamba viongozi hao wameshindwa KAZI na hivyo akapendekeza mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wao? Je, kila atakapopita akakuta kasoro atawaagiza Mawaziri?

Mwisho NI gharama za mradi na gharama za waziri kwenda eneo alilioagizwa. Kutoka Dodoma Hadi Mvomero kwenda na kurudi waziri na timu yake awatumii zaidi ya milioni Tisa? Kwamba unatumia milioni Tisa kwenda kukwamua mradi wa milioni Tisa?

Viongozi wanasiasa wameisha ndani ya chama tawala nadhani; Tunahitaji kuwa na Katibu Mkuu anayefanya analysis kabla ya kutamka neno. Tunapaswa kuwa na Katibu Mkuu anayekubalika na mwenye uwezo wakiimarisha chama. Chongolo my brother you can do better, relax
CCM ndiyo itaulizwa na wananchi 2025. Kwani ndiyo yenye mkataba nao. Chama kuisimamia serikali yake ni sahihi, ndiyo maana mambo yakiharibika ninyi waja mnaisema CCM. #Tuendelee na kazi KM Chongolo yuko sahihi na wala Waziri hana nongwa.🙏🙏🙏
 
Huu ndo ubovu wenyewe wa Katiba ya nchi hii
Na hao wenye madaraka na privileges hizo ndo unafikiri wakubali mabadiliko ya katiba na wayapitishe! Hapo anayedhani kuwa tutapata katiba iliyonyooka kwa kupitishwa na mfumo huu ana akili kweli?
 
Katibu Mkuu WA CCM ndugu Chongolo amemwagiza waziri WA Kilimo Mhe. Bashe kwenda Wilayani Mvomero kukagua na kuupatia ufumbuzi mradi WA umwagiliaji wenye thamani ya SHS milioni Tisa ambao umekwama kuendelea.

Kupitia maelekezo haya; Kwanza najiuliza Katibu Mkuu WA chama na Waziri Nani anamwagiza mwenzake? Kwanini masuala ya chama yasiwe na communication channeltofauti na mawasiliano ya serikali? Unapomwagiza Waziri ndani ya siku tano awe sehemu flani je, Una uhakika gani kwamba ratiba yake IPO free?

Eneo la pili NI kwanini KM CCM asitoe maagizo Kwa viongozi WA wilaya na Mkoa? Au kama wameshindwa kwanini asingetamka wazi kwamba viongozi hao wameshindwa KAZI na hivyo akapendekeza mamlaka ya uteuzi itengue uteuzi wao? Je, kila atakapopita akakuta kasoro atawaagiza Mawaziri?

Mwisho NI gharama za mradi na gharama za waziri kwenda eneo alilioagizwa. Kutoka Dodoma Hadi Mvomero kwenda na kurudi waziri na timu yake awatumii zaidi ya milioni Tisa? Kwamba unatumia milioni Tisa kwenda kukwamua mradi wa milioni Tisa?

Viongozi wanasiasa wameisha ndani ya chama tawala nadhani; Tunahitaji kuwa na Katibu Mkuu anayefanya analysis kabla ya kutamka neno. Tunapaswa kuwa na Katibu Mkuu anayekubalika na mwenye uwezo wakiimarisha chama. Chongolo my brother you can do better, relax
Ni matumizi mabaya ya concepts za kutekeleza ilani na dhana iliyopitwa na wakati ya "chama kushika hatamu". Waziri ni mteule wa Rais na anaripoti kwa Waziri Mkuu. Ratiba na vipaumbele vya kazi zake vinaendana na utendaji kazi wa serikali ambamo Katibu Mkuu wa Chama cha siasa hashiriki moja kwa moja.
 
Maskini hujui kama hujui! SG wa CCM ni sawa na CS serikalini. Ngazi yake ni mawaziri au mkuu wa Mkoa. Anamkunja Waziri
Yaani KM wa CCM anamuagiza waziri? Je CS nae anamuagiza waziri? Naomba ufafanuzi
Chain of authority iko wapi?
 
Yaani KM wa CCM anamuagiza waziri? Je CS nae anamuagiza waziri? Naomba ufafanuzi
Chain of authority iko wapi?
Usisahau KM wa CCM anamsaidia mwenyekiti katika chama ambapo ni Rais. Wakatu huo huo CS anamsaidia Rais katika Serikali. Rais in Boss wa CCM na boss wa Serikali.
 
Back
Top Bottom