SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
Ni miezi miwili imepita tangu Rais achaguliwe ila yaliyofanyika ni machungu kwa wapiga kura kwani yamekuwa kinyume kama ifuatavyo
1. Kupanda bei ya bidhaa mf gesi na mafuta, na umeme
2. Kashfa ya Dowans na ununuzi wa rada
3. Kurusu Arusha kuwe na mgawanyiko wa kisiasa ambao utaleta madhara siku za usoni
Kutokana na sababu izo nilizozitaja kama endapo uchaguzi mkuu ukirudiwa Mh Jk kupata urais ni NDOTO kwani ni miezi miwili imekuwa BORA MAISHA kwa watanzania na sio MAISHA BORA YENYE KUJALI WALE WA TABAKA LA CHINI.
1. Kupanda bei ya bidhaa mf gesi na mafuta, na umeme
2. Kashfa ya Dowans na ununuzi wa rada
3. Kurusu Arusha kuwe na mgawanyiko wa kisiasa ambao utaleta madhara siku za usoni
Kutokana na sababu izo nilizozitaja kama endapo uchaguzi mkuu ukirudiwa Mh Jk kupata urais ni NDOTO kwani ni miezi miwili imekuwa BORA MAISHA kwa watanzania na sio MAISHA BORA YENYE KUJALI WALE WA TABAKA LA CHINI.