SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
- Thread starter
- #21
PURE CRAP! kama huna cha kupost siukae kimya? Aggghhhh!!!!!
najua huna la kusema sababu huna imani kama inawezekana sababu kama Dr Slaa aliongoza ktk majimbo ambayo watu wameelimika hivyo basi katika majimbo ambayo bado wapo gizani tukiwapa mwanga lazima ccm ipotee ktk masikio ya watu kwa mabaya waliyofanya mpaka sasa.