Endapo Ubadhirifu unafanyika DSM kwa kiwango hicho, vipi maeneo ya pembezoni?

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,136
7,711
Kwanza nampongeza Mhe. Waziri Mkuu kwa kuchukua hatua za kuwasimamisha kazi na kuagiza vyombo vya sheria kuchukua hatua kwa wale wote walio fuja fedha za walipa kodi.

Jambo ambalo nimejiuliza kama Halmashauri za Jiji la DSM ambayo ipo pua na mdomo sasa vipi Halmashauri ambazo zipo pembezoni kuna hatari.

Ubadhirifu ulio bainishwa na CAG kwa Mkoa wa DSM na kuelezewa na waziri Mkuu hiyo jana alipo kuwa anatembele Halmashauri za Jiji la DSM, ni kushindwa kwa viongozi walio pewa dhamana, RC na ma DC wameshindwa, kwa masilahi ya umma wanapaswa wapishe.

Nawaomba viongozi walio pewa dhamana wasimamie matumizi ya fedha za serikali, wasisubiri hadi viongozi wa juu wafike.

Ifike mahala kuwe na "collective responsibility" wewe kama kiongozi ulio pewa dhamana ya kuongoza kipande chako, na umeshindwa kusimamia ama kuzuia ubadhirifu basi huna budi kuachia ngazi kwa masilahi ya umma.
 
Kwanza nampongeza Mhe. Waziri Mkuu kwa kuchukua hatua za kuwasimamisha kazi na kuagiza vyombo vya sheria kuchukua hatua kwa wale wote walio fuja fedha za walipa kodi.

Jambo ambalo nimejiuliza kama Halmashauri za Jiji la DSM ambayo ipo pua na mdomo sasa vipi Halmashauri ambazo zipo pembezoni kuna hatari.

Ubadhirifu ulio bainishwa na CAG kwa Mkoa wa DSM na kuelezewa na waziri Mkuu hiyo jana alipo kuwa anatembele Halmashauri za Jiji la DSM, ni kushindwa kwa viongozi walio pewa dhamana, RC na ma DC wameshindwa, kwa masilahi ya umma wanapaswa wapishe.

Nawaomba viongozi walio pewa dhamana wasimamie matumizi ya fedha za serikali, wasisubiri hadi viongozi wa juu wafike.

Ifike mahala kuwe na "collective responsibility" wewe kama kiongozi ulio pewa dhamana ya kuongoza kipande chako, na umeshindwa kusimamia ama kuzuia ubadhirifu basi huna budi kuachia ngazi kwa masilahi ya umma.
Hao majambazi wote ni makada wa ccm,yani RC DAS,DED,DC wote ni watoto wa panya,babu mwizi,bibi mwizi,shangazi mwizi,mama mwizi,mtoto mwizi,mjukuu mwizi yani wote ukoo wa wezi,ccm woyeee
 
hapa hatulaumu chama bali tunawalaumu baadhi ya viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia lkn wameshindwa kubaini waala kuzuia ubadhirifu ktk maeneo yao.
ifike wakati sasa tusiwaonee aibu viongozi ambao wanashindwa kubaini ubadhirifu kwenye maeneo yao.
 
Kwanza nampongeza Mhe. Waziri Mkuu kwa kuchukua hatua za kuwasimamisha kazi na kuagiza vyombo vya sheria kuchukua hatua kwa wale wote walio fuja fedha za walipa kodi.

Jambo ambalo nimejiuliza kama Halmashauri za Jiji la DSM ambayo ipo pua na mdomo sasa vipi Halmashauri ambazo zipo pembezoni kuna hatari.

Ubadhirifu ulio bainishwa na CAG kwa Mkoa wa DSM na kuelezewa na waziri Mkuu hiyo jana alipo kuwa anatembele Halmashauri za Jiji la DSM, ni kushindwa kwa viongozi walio pewa dhamana, RC na ma DC wameshindwa, kwa masilahi ya umma wanapaswa wapishe.

Nawaomba viongozi walio pewa dhamana wasimamie matumizi ya fedha za serikali, wasisubiri hadi viongozi wa juu wafike.

Ifike mahala kuwe na "collective responsibility" wewe kama kiongozi ulio pewa dhamana ya kuongoza kipande chako, na umeshindwa kusimamia ama kuzuia ubadhirifu basi huna budi kuachia ngazi kwa masilahi ya umma.
Sasa RC na ma DC wanahusikaje shehe wakati Halmashauri zina mabaraza yake ya Madiwani?

Ndo mjifunze, huu ujinga haukuwepo wakati Chadema wakiongoza hizi Halmashauri
 
PM anakata mzizi wa fitina Sana sijui wanaomfananisha PM na Mwezi wa kwanza kiutendaji wanajisikiaje
 
Kila siku yanajirudia yale yale
Yaani kuita waandishi wa habari na kujionyesha kuwa kuna viongozi wamechukua hela
Hakuna kitu hapo tumezoea haya na kila hela zikitoka zinapigwa tu
Na PM anaongea haya haya
Utasikia tu wapishe uchunguzi
Sasa sijui uchunguzi gani huo wakati anasema tena kwa majina kuwa wamechukua hela

Ngonjera haziishi and we are tired of this
Gawaneni tu halafu muonyeshe watu kuwa walioiba ni hawa
 
Kwanza nampongeza Mhe. Waziri Mkuu kwa kuchukua hatua za kuwasimamisha kazi na kuagiza vyombo vya sheria kuchukua hatua kwa wale wote walio fuja fedha za walipa kodi.

Jambo ambalo nimejiuliza kama Halmashauri za Jiji la DSM ambayo ipo pua na mdomo sasa vipi Halmashauri ambazo zipo pembezoni kuna hatari.

Ubadhirifu ulio bainishwa na CAG kwa Mkoa wa DSM na kuelezewa na waziri Mkuu hiyo jana alipo kuwa anatembele Halmashauri za Jiji la DSM, ni kushindwa kwa viongozi walio pewa dhamana, RC na ma DC wameshindwa, kwa masilahi ya umma wanapaswa wapishe.

Nawaomba viongozi walio pewa dhamana wasimamie matumizi ya fedha za serikali, wasisubiri hadi viongozi wa juu wafike.

Ifike mahala kuwe na "collective responsibility" wewe kama kiongozi ulio pewa dhamana ya kuongoza kipande chako, na umeshindwa kusimamia ama kuzuia ubadhirifu basi huna budi kuachia ngazi kwa masilahi ya umma.
NCHI NZIMA NI UPIGAJI TU WATEULE WAMEAMUA KULA UREFU WA KAMBA ZAO
 
Wanahangaika kukopa wakija hela wanagawana wana ramba asali .
 
Sasa RC na ma DC wanahusikaje shehe wakati Halmashauri zina mabaraza yake ya Madiwani?

Ndo mjifunze, huu ujinga haukuwepo wakati Chadema wakiongoza hizi Halmashauri
Ma RC na Ma DC wanao wajibu wa kufuatilia miradi ilinayo endelea ktk maeneo yao na kujiridhisha juu ya thamani ya fedha zilizo tumika katika miradi.

naamini endapo hao viongozi wetu watawajibika kikamilifu/ipasavyo naamini ubadhirifu utapungua kama sio kwisha kabisa.

hakuna siasa kwenye fedha za umma,
 
NCHI NZIMA NI UPIGAJI TU WATEULE WAMEAMUA KULA UREFU WA KAMBA ZAO
Inasikitisha sana mkuu.
Mimi mwanzoni nilikuwa mkali sana kudai risiti punde ninunuapo chochote.

Lakini kwa sasa nimevunjika moyo sana kwa huu upigaji unaoendelea....watoe risiti wasitoe sasa hivi naona sawa tu.
 
Kwanza nampongeza Mhe. Waziri Mkuu kwa kuchukua hatua za kuwasimamisha kazi na kuagiza vyombo vya sheria kuchukua hatua kwa wale wote walio fuja fedha za walipa kodi.

Jambo ambalo nimejiuliza kama Halmashauri za Jiji la DSM ambayo ipo pua na mdomo sasa vipi Halmashauri ambazo zipo pembezoni kuna hatari.

Ubadhirifu ulio bainishwa na CAG kwa Mkoa wa DSM na kuelezewa na waziri Mkuu hiyo jana alipo kuwa anatembele Halmashauri za Jiji la DSM, ni kushindwa kwa viongozi walio pewa dhamana, RC na ma DC wameshindwa, kwa masilahi ya umma wanapaswa wapishe.

Nawaomba viongozi walio pewa dhamana wasimamie matumizi ya fedha za serikali, wasisubiri hadi viongozi wa juu wafike.

Ifike mahala kuwe na "collective responsibility" wewe kama kiongozi ulio pewa dhamana ya kuongoza kipande chako, na umeshindwa kusimamia ama kuzuia ubadhirifu basi huna budi kuachia ngazi kwa masilahi ya umma.
Mkuu kama bosi wao aliwaruhusu kula urefu wa kamba kosa la kwao liko wapi ?!
 
Mkuu kama bosi wao aliwaruhusu kula urefu wa kamba kosa la kwao liko wapi ?!
tatizo wameshindwa kutafasiri maana ya kula urefu wa kamba.
maana sahihi iliyo kusudiwa ni kula ambacho ni halali kwako yaani mshahara na marupurupu unayo stahili LAKINI ukijidanganya kubunywa FEDHA za UMMA, Mama atakurarua kama vile hakujui.
Wanao Jidanganya wajaribu au waedelee kujidanganya halafu wataona moto utakavyo wababua.
 
kwakweli binafsi nawachukia sana wezi wa fedha za umma, huwa natamani sana sheria ibadilishwe kwa makosa kama haya, ikiwezekana iwe hivi; CAG akibaini ubadhirifu basi itoshe wahusika kufungwa jela na kulipa fedha walizo iba.
 
Back
Top Bottom