Endapo John Mnyika atahamia CCM atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu "mfululizo" kuhamia chama tawala na wa 4 kwa muda wote

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,962
141,963
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
MNYIKA NI MTU MDOGO SANA NDANI YA CHADEMA CHAMA AMBACHO KINAUGWA MKONO NA MAMILIONI YA WATANZANIA

AKITOKA HUYU ANAINGIA HUYU CHADEMA INA VIJANA WASOMI WENGI ZAIDI WENYE ELIMU YA JUU NA WENYE WELEDI,

KWAIYO MLETA UZII HAKINA MAANA YEYOTE ILE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Wachawi utawajua tu, tiyari mmeanza kupiga ramli zenu
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Quote hapa hayo maamuzi yake na sio kumsemea unachofikiri wewe.
Halafu unadhani kwa nini wakitoka Chadema kuja huko wanapewa nyazifa za kuaminika?
Dr Kabouru aliukwaa uenyekiti Kigoma na ujumbe wa NEC, Slaa akapewa ubalozi wa Sweden na kwa siri ni mshauri wa Jiwe na Mashiji ni suala LA muda tuu.
Jee wakati wanapewa hizo nafasi wafia chama wameenda wapi? Wapo Ila hawana uwezo kabisa.
Hivi jiulize mtu wenu kama Ndugai umuweke Chadema atapata wadhifa gani kwa uwezo duni alio nao? Ndugai hata Katibu wa Chadema Kata hawezi pewa ndio tofauti ya vyama hivi. Hivyo JJ kama anataka kwenda aende tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Atakuwa hana akili kupinga kumpoteza Slaa hakufanyi uhamie CCM.
 
MNYIKA NI MTU MDOGO SANA NDANI YA CHADEMA CHAMA AMBACHO KINAUGWA MKONO NA MAMILIONI YA WATANZANIA

AKITOKA HUYU ANAINGIA HUYU CHADEMA INA VIJANA WASOMI WENGI ZAIDI WENYE ELIMU YA JUU NA WENYE WELEDI,

KWAIYO MLETA UZII HAKINA MAANA YEYOTE ILE

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...mamilioni kwelikweli, subirini October ndo utajua ni mamilioni ya mabeberu ama ya watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.

Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.

Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.

Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.

Mungu iponye Chadema.

Maendeleo hayana vyama!
Fuatilia habari za huko mpakani achana na Chadema. Mtu anaweza asirudi tena mjini bwashee.
 
Hakuna anayemuhitaji Mbowe, Mnyika ni hazina na akihamia apewe wizara kabisa, nasikitika sana kupoteza kichwa kama Mnyika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu si ndio mlikuwa mnasema hana lolote ni form six tuu hana degree? Nyie hata Dr mihogo akiwa huku mlikuwa mnasema ana PhD ya Canon tuu haina faida, Leo akikohoa mnapiga makofi na jiwe akikwama mawazo anamvutia Uzi au anamrudisha waongee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom