johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,962
- 141,963
Napenda tu kuwakumbusha wanasiasa na wananchi kwa ujumla kwamba endapo Katibu mkuu wa sasa wa Chadema mh Mnyika atafanikiwa kuhamia CCM basi atakuwa ni Katibu mkuu wa tatu mfululizo kufanya hivyo.
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!
Lakini pia atakuwa ni Katibu mkuu wa 4 katika orodha ya wanachama wa Chadema waliowahi kushika wadhifa huo kuhamia CCM.
Hadi sasa madaktari watatu waliowahi kuwa makatibu wakuu wa Chadema na kutimkia CCM ni Dr Amani Kabourou, Dr Mashinji na Dr Slaa.
Ikumbukwe kuwa JJ Mnyika hakuridhishwa na utaratibu uliotumika kumsajili mzee Lowassa Chadema kwa gharama ya kumpoteza Dr Slaa na alishafanya maamuzi kuwa akimaliza kipindi hiki cha ubunge anahamia CCM.
Endapo lengo la Mnyika litatimia basi litakuwa ni pigo kubwa sana kwa siasa za Ufipa na viunga vyake.
Mungu iponye Chadema.
Maendeleo hayana vyama!