Abuubakar munis
Member
- Dec 14, 2011
- 51
- 5
Wadau kuna taarifa nimeziskia juujuu tu eti kwamba facebook inataka kusitisha huduma zake hivi karibuni.so nataka nipate uhakika juu ya hili kama kuna yeyote anayeweza kunithibitishia hili plzz anipe details hizo...