Emotional Game.

Emotional Game.

eee Yesu hivi lamo hautaki kubadilika tu😅😅🙌,, kiukweli nimepelekewa moto tu na nimeona hakuna cha maana imenibidi nirudi kwako dada angu unistiri nianze mwanzo,, tafwazari usinitupe udugu wangu😘
Mabinti wenzako wote huko tunashindana kununua hisa DSE wewe unaendekeza ngono na choka mbaya shauri yako.
Au wewe unataka kuja kuwafanyia kazi mabinti wenzako wakulipe mshahara kwa nyodo??

Mapenzi yalikuwepo, yapo na yatakuwepo.
Tafuta maisha bora kwanza ili upate mpenzi unayemtaka bila kuteswa na uchumi..!! 😹
 
Mabinti wenzako wote huko tunashindana kununua hisa DSE wewe unaendekeza ngono na choka mbaya shauri yako.
Au wewe unataka kuja kuwafanyia kazi mabinti wenzako wakulipe mshahara kwa nyodo??

Mapenzi yalikuwepo, yapo na yatakuwepo.
Tafuta maisha bora kwanza ili upate mpenzi unayemtaka bila kuteswa na uchumi..!! 😹
nimekoma mimi jamani,, sirudii hii inakua kama last woning nakuahidi lamo😥😪 usiniseme sana naumiaa
 
nimekoma mimi jamani,, sirudii hii inakua kama last woning nakuahidi lamo😥😪 usiniseme sana naumiaa
Asikutishe huyo mnaowataka ni wenye fedha ila tuliopo ndio hao akina sisi hela ya gesi hatuna ila moto ni mwingi sana mpaka kitumbua kinaungua 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom