funduku
Senior Member
- May 2, 2013
- 131
- 36
Juzikati nilikua natoka zangu job kwakua foleni ilikua kubwa barbarani ikabididi nishuke nianze kutembea nikawa napita njia za mkato. sasa kunasehemu nikasimama ili nijisaidie aja ndogo nyuma ya nyumba fulani hivi, sasa wakati nakojoa mara nikasikia sauti nzito ikitokea kwa dilishani mwa ile nyumba.. OYA OYA HAPO PAKIZAA MTOTO UJE KUMCHUKUA.. ebwana nilichoka kweli. Dar watu wanamaneno!