dodoso33
Member
- Oct 9, 2012
- 38
- 11
wakubwa zangu na wapa salamu! Nina shida jamani nimenunua AIRTEL modem hzi za huawei E153 tatizo kubwa hapa ni kwamba nikikoconect inakubali fresh kabisa ila internet inasumbua! Kuhusu bundle ipo haina matatizo! Au itakuwa setting zinasumbua sijui lakini msaadae kwenu wakubwa
NATANGULIZA SHUKRANI
NATANGULIZA SHUKRANI