Elnet Africa

Elnet Africa

SOMA UJUMBE HUU KWA UFASAHA BILA KUCHOKA, UTAELEWA VIZURI KABISA FURSA HII, KISHA ULIZA MASWALI PALE AMBAPO UTAHITAJI UFAFANUZI.



HISTORIA YA ELINET AFRIKA ni MFUMO Ulioanzishwa 2016 nchini Tanzania
Na ofisi zao zikiwa Dar es Salaam imesajiliwa kisheria kabisaa

Lengo Kuu la huu mfumo ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.

Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?

Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya ELINET AFRIKA ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 10,000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa ELINET AFRIKA Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja

Hivyo
Unatoa / kuchangia 10,000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..

GRADE 1

Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 6 .na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 10,000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO

6× 10,000= 60,000/=

GRADE 2

Kwenye hiyo 60,000 unatakiwa kuchangia 20,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.

So, itakuwa
600,000-20,000= Utabakiwa na Tsh 40,000/=

400,000-10,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 30,000/=

30,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

2. Hao 6...kila mmoja ataunganisha watu 6 kama ulivyofanya wewe...

Then itakuwa watu wako wa 6 Wakishirikisha wa 6 wao=36 Watu (wajukuu)

Na hao 36 Wakishirikisha wa 6 wao na wao watakuwa na 60,000 /=

Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 20,000 toka kwenye 60,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 20,000 pale awali = SAWA??

Hivyo basi 20,000 X 36 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 720,000/=

GRADE 3

Kwenye 720,000 yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 30,000= 720,000 -30,000= (690,000 hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

Hela inazidi kuongezeka tuuuu...

3) Na hao 36 kila mmoja ataunganisha 6 ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 216. Na wao pia watakuchangia 30,000 kila mmoja

Tsh 30,000 X216 wajukuu unapata 6,480,000.

GRADE 4
Hapo utatoa 400,000 YA kumchangia Tena wa juu yako zaidi inayobaki ni faida yako. Na hivyo kuruhusu kupokea 40,000 toka kwa vitukuu vyako 1296

1296 vitukuu X40,000= 51,840,000/= HIZO FEDHA NI ZAKO WEWE UTAKAZOZIPATA KWA KUCHANGIANA NA WENZAKO TU.

Tambua ELINET AFRIKA Kuna Grade ya 1 hadi GRADE 6. Kwenye hiyo grade ya 4 Tayari una Milioni 51,840,000. Ukifika Grade ya 6 utakuwa na Mamilioni mangapi?

KARIBU ELNET AFRIKA

NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.

KUMBUKA ELNET AFRIKA haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake

KARIBUNI
 
Exactly!

Nadhani inbox inaficha Mambo mengi.Mleta mada angeandika maelezo ya kutosha ili hata kina sie holoi poloi tusiojua inbox tuelewe kwa kina.

Tupe maelezo ya kina Mkuu.Mmiliki "Mpebari" au Mjamaa",Inavyo-operate,Namna ya kunufaika na ulichokiita "Fursa" nk.
SOMA UJUMBE HUU KWA UFASAHA BILA KUCHOKA, UTAELEWA VIZURI KABISA FURSA HII, KISHA ULIZA MASWALI PALE AMBAPO UTAHITAJI UFAFANUZI.



HISTORIA YA ELINET AFRIKA ni MFUMO Ulioanzishwa 2016 nchini Tanzania
Na ofisi zao zikiwa Dar es Salaam imesajiliwa kisheria kabisaa

Lengo Kuu la huu mfumo ni kuisaidia dunia (jamii husika ya mahali husika iweze kujikwamua yenyewe kiuchumi kwa njia ya wanajamii wenyewe kuweza kusaidiana kwa kuinuana kiuchumi kwa njia ya KUCHANGIANA.

Sasa basi mnachangianaje na kunyanyuana kiuchumi / kifedha?

Ili uweze kujiunga na Fursa hii ya ELINET AFRIKA ni lazima ujiunge kwa kumpatia / kumchangia / kumtumia moja kwa moja kwenye simu yake (tigo pesa, mpesa, airtel money, ezy pesa, PayPal, Bitcoin, Western Union, Bank za kawaida n.k Kiasi cha shilingi 10,000 / = Yule aliyekupa / kushirikisha fursa hii ambaye atakuwa ni Mwanachama wa ELINET AFRIKA Ili akusajili. Fedha hiyo itakuwa ni yake moja kwa moja

Hivyo
Unatoa / kuchangia 10,000 kwa aliyekushirikisha Fursa hii (mama) ..

GRADE 1

Kisha wewe unatakiwa (kushirikisha) watu 6 .na kila mmoja atakupatia / kukuchangia na wewe 10,000 Tsh. ( za Kwako hizo huwarudishii) ZAKO

6× 10,000= 60,000/=

GRADE 2

Kwenye hiyo 60,000 unatakiwa kuchangia 20,000 kwa mtu alomuunganisha alokuunganisha wewe (Bibi/babu) , kwa lugha rahisi ni kwamba una changia hiyo hela kwa Babu/Bibi yako.

So, itakuwa
600,000-20,000= Utabakiwa na Tsh 40,000/=

400,000-10,000 (Mtaji ile uliyotoa kwanza )= 30,000/=

30,000 ndo faida kutokana na watu wako wale watano.

2. Hao 6...kila mmoja ataunganisha watu 6 kama ulivyofanya wewe...

Then itakuwa watu wako wa 6 Wakishirikisha wa 6 wao=36 Watu (wajukuu)

Na hao 36 Wakishirikisha wa 6 wao na wao watakuwa na 60,000 /=

Sasa basi kila mjukuu wako mmoja Atakuchangia Tsh 20,000 toka kwenye 60,000 zao kama wewe ulivyomchangia bibi yako 20,000 pale awali = SAWA??

Hivyo basi 20,000 X 36 wajukuu = Jumla ukapokea / changiwa kiasi cha Tsh 720,000/=

GRADE 3

Kwenye 720,000 yako Sasa hivi utamchangia wa juu yako zaidi 30,000= 720,000 -30,000= (690,000 hiyo faida yako utakula wewe na familia yako)

Hela inazidi kuongezeka tuuuu...

3) Na hao 36 kila mmoja ataunganisha 6 ndani ya timu yako utakuwa na vitukuu 216. Na wao pia watakuchangia 30,000 kila mmoja

Tsh 30,000 X216 wajukuu unapata 6,480,000.

GRADE 4
Hapo utatoa 400,000 YA kumchangia Tena wa juu yako zaidi inayobaki ni faida yako. Na hivyo kuruhusu kupokea 40,000 toka kwa vitukuu vyako 1296

1296 vitukuu X40,000= 51,840,000/= HIZO FEDHA NI ZAKO WEWE UTAKAZOZIPATA KWA KUCHANGIANA NA WENZAKO TU.

Tambua ELINET AFRIKA Kuna Grade ya 1 hadi GRADE 6. Kwenye hiyo grade ya 4 Tayari una Milioni 51,840,000. Ukifika Grade ya 6 utakuwa na Mamilioni mangapi?

KARIBU ELNET AFRIKA

NJOO TUCHANGIANE VITU VYA KUTUNYANYUA KIUCHUMI / KIFEDHA / ADA / UJENZI, MITAJI YA BIASHARA NA MAENDELEO MENGINE.

KUMBUKA ELNET AFRIKA haishiki fedha yoyote ya Mwanachama wake

KARIBUNI
 
Mfumo ni mzuri na unaeleweka ila kazi ni kutafuta watu 6 ambao watakuwa chini yako ambao nao wanatakiwa kuwa serious mpaka mwisho wa mchezo na watakaokuwa china ya hao sita na wanatakiwa kuwa serious na kuendelea mpaka mtu wa mwisho
 
Kama kuna mtu anataka ajiunge chini yangu anitafute kwa namba yangu ya whatsapp nimuunganishe 0682786235
 
wajinga ndio waliwao,,,jirani yangu hapa nilimwambia kama hawa ni matapeli akanibishia now analia katapeliwa.Then kila ukisearch wanaopiga debe za elnet unakuta dau zinatofautiana
 
Back
Top Bottom