JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 470
- 597
Habari Wakuu,
Watu wa Arusha inaonekana bado wanamhitaji sana Jerry Muro. Nimepitia Kwenye blog moja hivi kuna habari nimesoma watu wa Arusha wanaomba Jerry Muro arudi Arusha awe Mkuu wa Mkoa.
Lakin I piia nimeona Nina LA MTU mmoja anayefahamika kwa jina LA Elisaria Pallngyo ambaye watu Wa Arusha wanaomba awe Mkuu wa wilaya ya Arumeru.
Sina Kipingamizi kwa hilo ila naomba kumfahamu vizuri huyu Mtu anayeitwa Elisaria Pallangyo ni nani? Je anafaa kuwa DC wa Arumeru? Kwa anayemfahamu ni huyu naomba CV yake
Watu wa Arusha inaonekana bado wanamhitaji sana Jerry Muro. Nimepitia Kwenye blog moja hivi kuna habari nimesoma watu wa Arusha wanaomba Jerry Muro arudi Arusha awe Mkuu wa Mkoa.
Lakin I piia nimeona Nina LA MTU mmoja anayefahamika kwa jina LA Elisaria Pallngyo ambaye watu Wa Arusha wanaomba awe Mkuu wa wilaya ya Arumeru.
Sina Kipingamizi kwa hilo ila naomba kumfahamu vizuri huyu Mtu anayeitwa Elisaria Pallangyo ni nani? Je anafaa kuwa DC wa Arumeru? Kwa anayemfahamu ni huyu naomba CV yake